Hivi ni mimi tu? au na wengine ni hivyo ....

Hivi ni mimi tu? au na wengine ni hivyo ....

ahahahhahahhahahhahaah juice ya maperaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
yan ujue amenivuruga akili!saaaaasa hapo si ni mwishon ndo anaimwagia juice ya maperaa banaaa!
mwanzoni anakuwa ameweka nini?
anafungia POP? Kaizer kuja huku ufundishe ,kila siku mwalimu tu ndo akupe mapwenti!
tumetoka semina ya competence based,mwanafunzi anaruhusiwa kutoa his/her prior knowledgeS!

subutu...nikuuzie ramani ya vita? lol
 
Hamjambo waungwana ....

Naomba niulize jamani, kuna kipindi naweza kaa bila kuwa na hamu ya ku-do 6 x 6; na nakuwa hivyo - kwa mda mrefu (japo kwa home naendeleza kama kawaida) Kwenye mwezi August na kuendelea hadi December huwa nakuwa na hamu ya hiyo kitu kupita kiasi hadi nashindwa kujizuia.

Kuna mwingine aliwahi kusikia au kuwa na hali ya hivyo kwenye baadhi ya miezi kama mimi ninavyosumbuka hivi....


Mimi naona tu hizi papuchi zina season
kuna miezi zinakutafuta wewe tu
na iezi unazitafuta lol
kama masika na kiangazi
 
Mimi naona tu hizi papuchi zina season
kuna miezi zinakutafuta wewe tu
na iezi unazitafuta lol
kama masika na kiangazi

we sa hz masika kiangazi!
ndukiiiiiii!mi sijauliza hivo bana!siijui nani kaandika hapo!
 
ahahahhahahhahahhahaah juice ya maperaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
yan ujue amenivuruga akili!saaaaasa hapo si ni mwishon ndo anaimwagia juice ya maperaa banaaa!
mwanzoni anakuwa ameweka nini?
anafungia POP? Kaizer kuja huku ufundishe ,kila siku mwalimu tu ndo akupe mapwenti!
tumetoka semina ya competence based,mwanafunzi anaruhusiwa kutoa his/her prior knowledgeS!
Dah! Umenikumbusha mbali sana,mambo ya paradigm shift!!! Kaizer umemuonea Tutor B ndio alipaswa akuje kwa ajili ya ufafanuzi zaidi na demonstration.
 
Last edited by a moderator:
ukiwa na game babu kubwa huendi kwa style hio best!
game bab kubwa ina steps!
game bab kubwa ina maandaliz
game bab kubwa ina uchovu bab kubwa
game bab kubwa inakula akili bab kubwa
game bab kubwa inataka msosi bab kubwa
game bab kubwa inataka utayari bab kubwa
game bab kubwa inataka hisia bab kubwa
game bab kubwa inadai mapumziko bab kubwa
JIKAGUE!(hata kimoyomoyo poa tu)

Unafaa kwenye mistari, game bab kubwa .................. nimeipenda namna ulivyotiririsha mistari hiyo
 
inatokea hasa ukiwa mgnjwa mgonjwa au una streess kidogo mambo yako hayajanyooka
 
Mmmmh labda itakuwa kipindi ambacho huna mkwanja ndo unakituliza.........maana huko nje bila pesa bwana hapawezekani.
Basi automatically bomu la genye halilipuki.........ndani hata kama huna kitu una uhakika.

Labda nimesema..................teh teh:smile-big::smile-big::A S 2152:

Na hiyo yaweza kuwa sababu, nimekubali hapa kuna great thinkers. Big up
 
Labda unanyegemka wakati wa baridi sana kwani inasemekana ndicho kipindi ambacho watu wanatamani kung'ang'aniana sana kuliko kipindi kingine.
 
Back
Top Bottom