Hivi ni mimi tu? au na wengine ni hivyo ....

Hivi ni mimi tu? au na wengine ni hivyo ....

Kumbe una miezi yako...afu mpango wa kando huo...duh
 
kwa hiyo hiyo miezi unayopenda kugegeda na usiopenda kugegeda manzi wako ni huyu huyo

na wa/analizungumziaje hilo hasa wakati hamu inapokutoweka mwe!!!!!

Mda wote nakuwa na hamu ya kugegeda, lakini kwenye mwezi August hadi Dec. nakuwa na hamu sana na sometimes inanipelekea kutoka nje ili nisimchoshe mama watoto wangu.
 
yani mkuu nadhani sense organ moja itakua impaired kwa sabau sense organ zote za mashine kusimama zinahusishwa hadi harufu,sauti ndo usiseme yani unaweza hata badilisha safari na njia ukawa unafaidi kama huyu jamaa(huu ni ushahidi kuwa haya mambo hayana break wala muda)

images
 
haaaaaah! Au ndio kama wale wanaosema ikifka mwezi flani skio/mguu unaoza...kaaaazi kweli kweli kujiaminisha kwenye hli la leo.. Halaf unanchanganya unaposema unakosa hamu ya kubanjuka ilihali nyumbani unaendeleza...!!
 
yani mkuu nadhani sense organ moja itakua impaired kwa sabau sense organ zote za mashine kusimama zinahusishwa hadi harufu,sauti ndo usiseme yani unaweza hata badilisha safari na njia ukawa unafaidi kama huyu jamaa(huu ni ushahidi kuwa haya mambo hayana break wala muda)

images

sijakupata Red
 
Mda wote nakuwa na hamu ya kugegeda, lakini kwenye mwezi August hadi Dec. nakuwa na hamu sana na sometimes inanipelekea kutoka nje ili nisimchoshe mama watoto wangu.

Usimletee tu virusi mama wa watu lol!!!!!!!
 
aisee damn it!! ,mimi ukinigusa tu nadisa ,sinaga za msimu kama za mbwa au paka eti hadi jike lichanue!!tena muda mwingine nikisikia tu harufu ya ile kitu hata kama imevaliwa chupi basi mimi huku napata shida..............!!

wewe tena,mbona ningeshangaa mie
 
Mda wote nakuwa na hamu ya kugegeda, lakini kwenye mwezi August hadi Dec. nakuwa na hamu sana na sometimes inanipelekea kutoka nje ili nisimchoshe mama watoto wangu.

ila best we kazi za nje unazipenda!
khaaa!
umewekeza sana aliki huko wala usisingizie mwezi!
aliyekwambia mkeo atachoka nani?
au game yako ya kitoto best!?
utamu wa mdomo mate yako bana!
wa wapi wewe!
af mkubwa wewe ujue!
 
haaaaaah! Au ndio kama wale wanaosema ikifka mwezi flani skio/mguu unaoza...kaaaazi kweli kweli kujiaminisha kwenye hli la leo.. Halaf unanchanganya unaposema unakosa hamu ya kubanjuka ilihali nyumbani unaendeleza...!!

utanielewa kwa jinsi tunavyoendelea kujadili, ila nimesema kuna kipindi hamu inazidi kipimo
 
Utakuwa wewe tuu mkuu, mie mgeni kabisa idara hii. Yaani kazi ina miezi yake hii mpya ya 2013.
 
ila best we kazi za nje unazipenda!
khaaa!
umewekeza sana aliki huko wala usisingizie mwezi!
aliyekwambia mkeo atachoka nani?
au game yako ya kitoto best!?
utamu wa mdomo mate yako bana!
wa wapi wewe!
af mkubwa wewe ujue!

game langu ni babu kubwa wala si la kitoto.
 
game langu ni babu kubwa wala si la kitoto.

ukiwa na game babu kubwa huendi kwa style hio best!
game bab kubwa ina steps!
game bab kubwa ina maandaliz
game bab kubwa ina uchovu bab kubwa
game bab kubwa inakula akili bab kubwa
game bab kubwa inataka msosi bab kubwa
game bab kubwa inataka utayari bab kubwa
game bab kubwa inataka hisia bab kubwa
game bab kubwa inadai mapumziko bab kubwa
JIKAGUE!(hata kimoyomoyo poa tu)
 
ukiwa na game babu kubwa huendi kwa style hio best!
game bab kubwa ina steps!
game bab kubwa ina maandaliz
game bab kubwa ina uchovu bab kubwa
game bab kubwa inakula akili bab kubwa
game bab kubwa inataka msosi bab kubwa
game bab kubwa inataka utayari bab kubwa
game bab kubwa inataka hisia bab kubwa
game bab kubwa inadai mapumziko bab kubwa
JIKAGUE!(hata kimoyomoyo poa tu)

game bab kubwa haina majira ktk mwaka
game bab kubwa inakuwepo kila uchwapo
game bab kubwa ina chezwa na mtu mkubwa
game bab kubwa haina masika, kiangazi, kipupwe au vuli
(Atafakari na achukue hatua)
 
Mmmmh labda itakuwa kipindi ambacho huna mkwanja ndo unakituliza.........maana huko nje bila pesa bwana hapawezekani.
Basi automatically bomu la genye halilipuki.........ndani hata kama huna kitu una uhakika.

Labda nimesema..................teh teh:smile-big::smile-big::A S 2152:
 
Mi sijui hayo mambo ya tabia mbaya mie!
 
Hiyo itakuwa kwako tu ,mimi hamu yangu haina msimu wa masika au kiangazi!
 
Back
Top Bottom