Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,302
- 9,809
Natamani niwe na msimamo kama wako nisiendekeze nyegemimi nimeshauguza mgonjwa wa ukimwi ambaye ni dada yangu.. naona mateso anayopitia na hizo ARV.. so nauogopa sana ukimwi.. nimeshawai igiza naumwa tumbo ili nisile mzigo wa demu flani hivi.. nilimchukua hostel udsm usiku kufika kwangu maduka yamefungwa na condom sina geto.. ikabidi nizuge naumwa tumbo ghafla tukalala bila kula mzigo.. nikaja kuula kesho yake baada ya kununua zana kulipokucha...
nyege za kitoto siziendekezi.. maisha matamu sana haya