dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 24,809
- 61,675
kondom ndio nini? utakulaje pipi kwenye ganda lake? kitu nyama kwa nyama ndio mpango
Kama huyo mleta mada.
Wewe si umesema hutumii mkuuMe nmesema mtumiaj?
Duh tupo wengi, mi nikivaa tu madhine inasinzia ndani ya dk 1 haisimami hadi nioshe na sabuniBinafsi condom sizikubali sana na Mood ya game huwa inakata kama demu ataning'ang'aniza nitumie hiyo kitu. Kiufupi me so mtumiaji wa hayo madude, Ni mimi tu ambae sizikubali au wwngine mpo??
Kondom ni kwa ajili ya washenzi wa tabia... Wasioridhika na mmoja na wasio waaminifu kwenye mahusiano yao
duuuh hatariSijui hata jinsi ya kuzifungua
Wavaaji condom ni wachache sana wanawake wenyewe hawazipendi
Hauko peke yako mkuu,ndio maana maambukizi mapya, yatokanayo na wasiojua afya zao... yanaendelea kuwepo.Binafsi condom sizikubali sana na Mood ya game huwa inakata kama demu ataning'ang'aniza nitumie hiyo kitu. Kiufupi me so mtumiaji wa hayo madude, Ni mimi tu ambae sizikubali au wwngine mpo??
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]mi mwenyewe siku hizi imeanza kuniletea hii kitu. Nikivaa tu mzee analala hasa la 2. Zamani ilikiwa poa now ni shida tu stimu zinakata mazima yaani. Ila nikiweka kavu daa full mlingoti usiku mzima. Sema ndo Hatari lakini tamuDuh tupo wengi, mi nikivaa tu madhine inasinzia ndani ya dk 1 haisimami hadi nioshe na sabuni
Mkuu una mbinu Kama zangu.mi kavu kavu siendi bila sababu..
labda kama nataka kuzaa na wewe na nijue ni mzm.. nakupima hata kwa ujanja ujanja tu... ila nile kavu eti kisa nina nyegeeez ... hapana kwa kweli..
mimi napenda sana bia.. sasa nawaza nipate umeme nianze kunywa Arv na masharti niache bia.. hapana kwa kweli
Binafsi condom sizikubali sana na Mood ya game huwa inakata kama demu ataning'ang'aniza nitumie hiyo kitu. Kiufupi me so mtumiaji wa hayo madude, Ni mimi tu ambae sizikubali au wwngine mpo??
Mkuu Mshana unamaanisha ukiwa na mpenzi mmoja ndio hawezi kukuambukiza ukimwi?au ndio kigezo Cha kutopata ukimwi?Kondom ni kwa ajili ya washenzi wa tabia... Wasioridhika na mmoja na wasio waaminifu kwenye mahusiano yao
Mkuu una mbinu Kama zangu.
Mimi Hadi mwanamke nimuamini Basi ujue nimemfanyia uchunguzi wa kina sana Kama hatujaenda kupima hospitali Basi nitatumia mbinu za kisaikolojia.
Lakini siwezi kukurupuka mwanamke ambaye hatujuani nimpige kavukavu.
Bila magonjwa ni nyama kwa nyamaHakuna anaezikubali ila tuu magonjwa