Mr Attorney
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 25,536
- 34,669
Mwambie akuoea sasaYeah! Tena mara nyingi tu
Mwambie akuoea sasaYeah! Tena mara nyingi tu
Ningekuwa Mimi sifikirii hata kumuacha ndo ningetopea zaidi na zaidi nakuwa kama mtu aliefukiwa kiwiliwili kwenye shimo halafu kimebaki kichwa tu ndo kinakodoa..
Hapo akikuacha unafanya ile kitu inaiwa tit for tat.. siku anakuacha ndio siku unaanzisha mahusiano mengine ili uwe bize na mahusiano mengine kuliko kuwa bize maumivu.. wanakwambia Kinga ni bora kuliko tiba..![]()




umetishaaaaMkuu lazima ukiwa na pumzi uwe na mbwembwe mkuu usipoonyesha mbwembwe jua umeshakufa..😅pumzi bwana hina bwebwe
Ebu elezea kama mtu mwenye akiri timamu. Sababu gan iliyo pelekea had Unataka kuacha ? kisa ama chanzo cha kumuacha ni nini hasa?Jamani ninavyoendelea niweza kupoteza maisha. Ktk pitapita zangu nimedumbukia mahala ambapo nimezama mzima mzima mpaka kutoka nashindwa. Kuna binti kweli nampenda jmn. Ikipita cku sijaongea naye naumia roha mpaka siwezi kuelezea.
Nisaidieni mbinu za kuachana naye make nitakuja kufa kwajili yake. Siyo kwamba hakuna wengine ila hata nikiwa na wengine bado tu namkumbuka yeye. Au kaniwekea rimbwata?
Kweli you're RightUmeyaanza ukubwani ila usijali utakuwa pro
sasa uachane nae kwa nn?Jamani ninavyoendelea niweza kupoteza maisha. Katika pitapita zangu nimedumbukia mahala ambapo nimezama mzima mzima mpaka kutoka nashindwa. Kuna binti kweli nampenda jamani. Ikipita cku sijaongea naye naumia roha mpaka siwezi kuelezea.
Nisaidieni mbinu za kuachana naye make nitakuja kufa kwajili yake. Siyo kwamba hakuna wengine ila hata nikiwa na wengine bado tu namkumbuka yeye. Au kaniwekea rimbwata?
Na utakufa kweli, mapenzi sio ya kuyaendekeza!!
Mbele yako nyuma yetu mwamba...Jamani ninavyoendelea niweza kupoteza maisha. Katika pitapita zangu nimedumbukia mahala ambapo nimezama mzima mzima mpaka kutoka nashindwa. Kuna binti kweli nampenda jamani. Ikipita cku sijaongea naye naumia roha mpaka siwezi kuelezea.
Nisaidieni mbinu za kuachana naye make nitakuja kufa kwajili yake. Siyo kwamba hakuna wengine ila hata nikiwa na wengine bado tu namkumbuka yeye. Au kaniwekea rimbwata?
PolePole boss..... Ila jifunze kuiambia akili yako kuwa inatosha.....
Mimi yamewahi nikuta lakini nikiamua kuyaacha naacha, mfano Leo kasafiri lakini hapokei simu mpaka sasa na yupo online WhatsApp kabadilisha status, na alikoenda ndipo ex wake alipo
Kikubwa kubali hakuna kitu muhimu kama pumzi uliyonayo, hayo mengine ni ziada
mkuu unaemwambia hayupo Tena .Mkuu kama unataka usindelee kuumia acha kumpa hela huyo mwanamke.
Repeat it again!!
Its hard and risk ila do it anyway.
...# for your sake
...# If you know you know.
Amefariki kweli. Amecommit suicide aiseeeNa utakufa kweli, mapenzi sio ya kuyaendekeza!!