Hivi ni mimi pekee nateseka na mapenzi?

Hivi ni mimi pekee nateseka na mapenzi?

Mkuu kama unataka usindelee kuumia acha kumpa hela huyo mwanamke.

Repeat it again!!

Its hard and risk ila do it anyway.

...# for your sake

...# If you know you know.
Too late mkuu.
Jamaa hatunae.


Kumbe hata hizi baadhi ya avatar zainasadifu yaliyo mioyoni mwa watu.
 
Pole boss..... Ila jifunze kuiambia akili yako kuwa inatosha.....

Mimi yamewahi nikuta lakini nikiamua kuyaacha naacha, mfano Leo kasafiri lakini hapokei simu mpaka sasa na yupo online WhatsApp kabadilisha status, na alikoenda ndipo ex wake alipo

Kikubwa kubali hakuna kitu muhimu kama pumzi uliyonayo, hayo mengine ni ziada
hakuna kitu muhimu kama pumzi..ulikuwa una mshauri vizuri kwel
 
.....Nzi kidondani, hufia wahenga walisema.
Sometimes maradhi yaeza yasiwe na tiba kwa penzi ya kapona.

Ila yako yatakuua Safari hii utoboi bro.
Nabii wa jf dah umejua kumtabilia mwenzio aisee kibongo bongo unaweza kuwa hatiani sema ukukusudia Ila next time jifunze kuwa na kauri nzuri
 
Too late mkuu.
Jamaa hatunae.


Kumbe hata hizi baadhi ya avatar zainasadifu yaliyo mioyoni mwa watu.
Majina, avatar, kuna vitu tunavyofanya kwa kujua au bila kujua. Tuwe makini kwenye maneno tunayozungumza hasa tukiwa kwenye hali ngumu za maisha.

Pia sisi members tuwe positive pia kwenye comments zetu hapa unaweza kuwa daraja la uzima kwa mtu aliyekata tamaa.
 
Jamani ninavyoendelea niweza kupoteza maisha. Katika pitapita zangu nimedumbukia mahala ambapo nimezama mzima mzima mpaka kutoka nashindwa. Kuna binti kweli nampenda jamani. Ikipita cku sijaongea naye naumia roha mpaka siwezi kuelezea.

Nisaidieni mbinu za kuachana naye make nitakuja kufa kwajili yake. Siyo kwamba hakuna wengine ila hata nikiwa na wengine bado tu namkumbuka yeye. Au kaniwekea rimbwata?

Wewe tatizo ni hela tu. Kama una hela na umempenda muoe. Kama huna hela huwezi kumuoa muache tu utateseka maana utaona wengine wanamla utaumia.
 
Jamani ninavyoendelea niweza kupoteza maisha. Katika pitapita zangu nimedumbukia mahala ambapo nimezama mzima mzima mpaka kutoka nashindwa. Kuna binti kweli nampenda jamani. Ikipita cku sijaongea naye naumia roha mpaka siwezi kuelezea.

Nisaidieni mbinu za kuachana naye make nitakuja kufa kwajili yake. Siyo kwamba hakuna wengine ila hata nikiwa na wengine bado tu namkumbuka yeye. Au kaniwekea rimbwata?
Aliwazalo ndio litakalomtokea na hii ndio darubini.
 
Endelea ivo ivo tu ,mwisho ujipige kitanzi ufe mana we sio mwanaume kamili......mabaharia tutabaki tunamkuna huyo unayemtesekea .Pumbafuuuuu.
 
Hahahhahahha


Hiyo wanawake wa istagram wanaita limbwata ya chumvi
 
Endelea ivo ivo tu ,mwisho ujipige kitanzi ufe mana we sio mwanaume kamili......mabaharia tutabaki tunamkuna huyo unayemtesekea .Pumbafuuuuu.
amesha jiua tayari (R.I.P)
tusiwe tunapenda sana kutumia hizi lugha za ukali kwa watu wa namna hii
 
Dah! Jmaa yangu Umomi mtatizo yote ya dunia hii yanakuandama wewe... sasa! nimekuelewa uliposema umekufa maana matatzo yote yakikuandama ujue huna tofauti na mfu, na watu wengi humu hawakukuelewa wamekimbilia kusema rip
 
UKIONA UMESHAANZA KUJIJUA KAMA UMEROGWA UJUE TAYARI DAWA ZAKE ZIMEISHA NGUVU UTAMSAHAU MUDA SI MREFU
 
Mjifunze na PUNYETO kidogo.....huwa inasaidia sanaaaa.....
 
Back
Top Bottom