lulu za uru
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 2,171
- 2,662
Niende kwenye hoja..
Ni hivi kama tunavyojua upekee wa mbuga yetu Ngorongoro na hadhi yake mpaka urithi wa dunia unaitambua. Kwa hiyo hata vitu vyake vinatakiwa viwe na standard za kuridhisha ili ikue na ikue zaidi.
Binafsi silidhishwi na standard ya bango la Ngorongoro. Bango hilo ni pendwa pale ambapo watu ( watalii) wengi hupendelea kuchukua kumbukumbuku kuwa walifika Ngorongoro. Ninaona kwamba Bango liko kawaida sana,Bango halina arts zozote, Bango limekaa chinichini sana , Bango limekaa ilimradi tu kiasi kwamba picha hazitokei vizuri hasa group pictures neno Ngorongoro hufunikwa kutokana na Bango iko chinichini mno.
Kiufupi Bango like linahitaji marekebisho kutokana na hadhi ya Mbuga. Najaribu kupandisha picha inakataa, bango ni la kijani limejengwa juu ya mawe kikawaida sana.
.
.
Ni hivi kama tunavyojua upekee wa mbuga yetu Ngorongoro na hadhi yake mpaka urithi wa dunia unaitambua. Kwa hiyo hata vitu vyake vinatakiwa viwe na standard za kuridhisha ili ikue na ikue zaidi.
Binafsi silidhishwi na standard ya bango la Ngorongoro. Bango hilo ni pendwa pale ambapo watu ( watalii) wengi hupendelea kuchukua kumbukumbuku kuwa walifika Ngorongoro. Ninaona kwamba Bango liko kawaida sana,Bango halina arts zozote, Bango limekaa chinichini sana , Bango limekaa ilimradi tu kiasi kwamba picha hazitokei vizuri hasa group pictures neno Ngorongoro hufunikwa kutokana na Bango iko chinichini mno.
Kiufupi Bango like linahitaji marekebisho kutokana na hadhi ya Mbuga. Najaribu kupandisha picha inakataa, bango ni la kijani limejengwa juu ya mawe kikawaida sana.
.
.