nitonye
JF-Expert Member
- Dec 18, 2011
- 7,273
- 3,750
Hili jambo linasikitisha kabisa mpaka leo tunasubiri kusomewa habari saa mbili za usiku au saa moja. Kuna tukio linatokea huko songea na tunasikia imekuwa tafrani lakini chombo chetu kama TBC sasa hivi wameweka taarabu.
Hivi ni lini tutaanza kupata habari live
Hivi ni lini tutaanza kupata habari live