Vyombo vyetu vya habari na "Mubashara"

ibanezafrica

JF-Expert Member
Oct 23, 2014
7,261
6,543
Tukiwa tunaendelea na maombolezo tuviombe baadhi ya vyombo vyetu vya habari mjitahidi kutuletea matangazo ya moja kwa moja kwa muda wote wa tukio lengwa kwa wakati huo kulikoni ilivyo sasa ambapo baadhi ya vyombo hivi wakati tukio likiendelea au msafara unapopita barabarani wao wanafanya uchambuzi studio!

Hii kwa kweli mnatunyima na kututoa kwenye mood sisi wengine tunaoshiriki kupitia runinga, mjue tupo mamilioni tunaofuatilia nchi nzima.

Ningeshauri mtupe matukio yote Live kama yanavyoendelea katika muda husika ikiwa ni pamoja na msafara unapopita barabarani tunahitaji tuone njia, walimosimama waombolezaji na inapendeza tuzisikie na sauti zao za kuimba, kuaga na kulia, jambo hili linaleta hisia na msisimko kuliko kutuwekea nyimbo ya background toka studio wakati msafara ukipita!

Nina imani mtarekebisha kidogo katika hili naelewa kama ni uchambuzi bado tuna zaidi ya wiki mbili za maombolezo kipindi hicho tutahitaji sana uchambuzi na shuhuda mbali mbali.

Mwisho niwapongeze kwa jitihada zenu kujitahidi kutupa mrejesho wa yote yanayoendelea tokea Dar, Dodoma, Unguja na hatimaye Mwanza na Chato.
 
Sijaelewe tatizo ni ukosefu wa vyombo kwa maana vifaaa/vitendea kazi au?

Lakini hapana Azamtv wana vifaa vya kutosha na vya kisasa lkn nadhani tatizo lipo kwa wafanyakazi wenyewe, hawajui kuvitumia vyombo.

Upigaji picha mbovu, yaaani utambulisho wa viongozi unafanyika unakuta mpiga kamera badala ya kuwaonyesha anatuonyesha anaye tangaza. badilikeni, jaribuni kuiga
 
sijaelewe tatizo ni ukosefu wa vyombo kwa maana vifaaa/vitendea kazi au?

lkn hapana Azamtv wana vifaa vya kutosha na vya kisasa lkn nadhani tatizo lipo kwa wafanyakazi wenyewe, hawajui kuvitumia vyombo.

upigaji picha mbovu, yaaani utambulisho wa viongozi unafanyika unakuta mpiga kamera badala ya kuwaonyesha anatuonyesha anaye tangaza. badilikeni, jaribuni kuiga
, ndege inatua inasogea taratibu wanaonyesha , ndege imesimama wanaanza kushuka waliosafiri kamera zinaondolewa haraka wanatuonyesha watu waliokuja kupokea!
Wajifunze wenzetu huko Cnn,Bbc nk jinsi wanavyo report matukio haya ya mubashara
 
Hakuna hata mmoja anaetumia drones tupate na picha za juu..

Kweli tuna safari ndeeefu
 
, ndege inatua inasogea taratibu wanaonyesha , ndege imesimama wanaanza kushuka waliosafiri kamera zinaondolewa haraka wanatuonyesha watu waliokuja kupokea!
Wajifunze wenzetu huko Cnn,Bbc nk jinsi wanavyo report matukio haya ya mubashara
Pengine wameambiwa wafanyage ivo
 
sijaelewe tatizo ni ukosefu wa vyombo kwa maana vifaaa/vitendea kazi au?

lkn hapana Azamtv wana vifaa vya kutosha na vya kisasa lkn nadhani tatizo lipo kwa wafanyakazi wenyewe, hawajui kuvitumia vyombo.

upigaji picha mbovu, yaaani utambulisho wa viongozi unafanyika unakuta mpiga kamera badala ya kuwaonyesha anatuonyesha anaye tangaza. badilikeni, jaribuni kuiga
Hata mimi nakubaliana na wewe ndugu
 
, ndege inatua inasogea taratibu wanaonyesha , ndege imesimama wanaanza kushuka waliosafiri kamera zinaondolewa haraka wanatuonyesha watu waliokuja kupokea!
Wajifunze wenzetu huko Cnn,Bbc nk jinsi wanavyo report matukio haya ya mubashara
Hii ilinikera mpaka nikataka kuzima tv
 
, ndege inatua inasogea taratibu wanaonyesha , ndege imesimama wanaanza kushuka waliosafiri kamera zinaondolewa haraka wanatuonyesha watu waliokuja kupokea!
Wajifunze wenzetu huko Cnn,Bbc nk jinsi wanavyo report matukio haya ya mubashara
ndio tabu ya wabongo, hata kujiongeza hawawezi, natamani kuwachapa viboko, haswa wapiga picha/camera man....ovyo kabisa hawana hata ujanja wa kuiga wenzao walio endelea au vyombo vikubwa, yaaani upigaji picha wa kishamba kweli.
huwa nashangaa sana kuona picha moja inaweza kurushwa na vyombo vya nje ikaonekana bora zaidi kuliko iliyo rushwa na vyombo vyetu vya ndani.
badilikeni.
 
Hakuna hata mmoja anaetumia drones tupate na picha za juu..

Kweli tuna safari ndeeefu
Na azam wanazo hebu fikiria hata labda wangezitumia siku ya kuaga Dar huenda zingesaidia kuwastua mamlaka kuiona hatari ambayo ingetokea kwa msongamano mkubwa
Wangeokoa maisha ya watoto wale pengine
 
Na azam wanazo hebu fikiria hata labda wangezitumia siku ya kuaga Dar huenda zingesaidia kuwastua mamlaka kuiona hatari ambayo ingetokea kwa msongamano mkubwa
Wangeokoa maisha ya watoto wale pengine
Achana tu na azam, hao wanaorusha matukio yaani hawana na hawajafikiria... Hata cloud ...mona kwenye matukio ya fiesta walirusha picha ....

Au pengine kuna sheria na mambo ya leseni zinawabana... Maana haiwezekani...!!

Drones zingeonyesha vingi sana tofauti na mavideo yao ya kwenye pickup.. wanapitwa hata na baadhi za harusi...
 
Back
Top Bottom