Hivi ni kweliii nguo za mitumba hutupwa Kama taka huko ulaya na baadae kuletwa Africa?

Pamoja na maelezo mazuri ila watu wa ulaya wananunua nguo na kuzivaa kulingana na vipindi vya majira either baridi au joto. Kipindi cha baridi watu wa ulaya walio wengi huzigawa nguo zao ambazo walizivaa kipindi cha joto au huziuza kwa thamani ya chini ili wanunue au wapate kuvaa nguo za kipindi cha majira husika.

Hii biashara ya mitumba imefaidisha sana ulaya na marekani. China hakuipenda hii biashara tangu zamani ila naona na yy siku izi kaichangamkia sana.
Zamani shati la XL au XXL mtumba kutoka america au ulaya ni kama lile la braza K wa futuhi ila siku izi nguo au viatu vina saizi ndogo kiasi ambacho naona mzigo unatoka sana Asia maana wale maumbo yao madogo sana na ubora pia wa hizi nguo za mitumba nao umepungua sio kama zile za zamani.
Kuanzia viatu
Mashati
Suruali
Matisheti
 
Pamoja na maelezo mazuri ila watu wa ulaya wananunua nguo na kuzivaa kulingana na vipindi vya majira either baridi au joto. Kipindi cha baridi watu wa ulaya walio wengi huzigawa nguo zao ambazo walizivaa kipindi cha joto au huziuza kwa thamani ya chini ili wanunue au wapate kuvaa nguo za kipindi cha majira husika.

Hii biashara ya mitumba imefaidisha sana ulaya na marekani. China hakuipenda hii biashara tangu zamani ila naona na yy siku izi kaichangamkia sana.
Zamani shati la XL au XXL mtumba kutoka america au ulaya ni kama lile la braza K wa futuhi ila siku izi nguo au viatu vina saizi ndogo kiasi ambacho naona mzigo unatoka sana Asia maana wale maumbo yao madogo sana na ubora pia wa hizi nguo za mitumba nao umepungua sio kama zile za zamani.
Kuanzia viatu
Mashati
Suruali
Matisheti
Ni kweli kabisa
 
Bro nimewahi kuishi UK,Miji miwili
Hereford na Reding !!!
Hawa jamaa wana maduka wanaita charity shops!! Kama una malapu lapu yako yan nguo usizo zitaka unapeleka hapo unazibwaga ,kuna watu wanazichukua na kuzi"grade"kisha zinakuja kwetu huku!!! Pia kama MTU amekufa wanazoa kila alichokiacha marehem kinakuja huku kupitia charity shops!!!
Ikifika mwisho wa mwaka hawa jamaa hubadili fanicha na vifaa kama friji,mashine za kufulia nguo na kuoshea vyombo, TV,nk kuna sehemu ya mbele ya nyumba wana weka kisha kuna watu wanapita kuchukua au pia hupeleka kwenye charity shoops kisha vina gradiwa kisha vinakuja huku uswahilini kwetu!!!
Ndio TV ,frij used tunazoziona
Sasa kama ni taka kwann yanauzwa bei kubwa mabelo
 
Unasema sio ukweli brother nguo zote zinazo pelekwa Charity ni nguo sio malapulapu tena ni nguo za maana hasa na ni very expensive watu walio toka DUNIA ya TATU wameharibu mifumo ya watu unalikuta lijitu na akili yake timamu linafungua mifuko ya vitu iliyo wekwa mbele ya Charity shop nakuanza kusagulasagula vitu na kuchukua vitu vya thamani na kuacha manguo au viatu vime tapa kaa sehem yote,.. sababu mara nyingi watu wanaweka usiku mbele ya Duka.

Local Charity shops zote zinauza vitu kwa bei rahisi na hela inayopatikana ni kwa ajili ya Charity shop husika na watu wanao nunua ni raia wa sehemu husika au eneo usika .

Charity zinazo toa misaada ni zile za taasisi za deni ambazo hukusanya vitu kwa ajili ya NCHI masikini vitu vinavyo kusanywa vinatokana na waumini au local residents.

Biashara ya mitumba hii iwe viatu au nguo inayo letwa mfano TZ ni biashara kubwa na kuna makampuni husika ndio inayo uza na mitaji yake sio lelemama mara nyingi mitumba mengi ni zile nguo au viatu vilvyo tolewa kwenye maduka makubwa au trained groups zilizo maliza mashidano yoyote yale mfano Olympics,marathon nk pia wapo watu hutupa nguo lkn kutupa nguo NCHI za western kuna utaratibu uliokuwa mzuri sababu mara nyingi nguo zinakuwa nzuri na mara nyingine ni MPYA kabisa.

Kifupi kufanya biashara ya MITUMBA sio rahisi ni biashara yenyewe inahitaji mtaji mkubwa sn.
Umeongea point
 
Mkuu umelipaka mafuta hilo jambo utadhani ni zuri, eti viatu vilivyotumika olympics, hio olympics inafanyika kila mwaka na kila mtu huko hushiiku kiasi kwamva viatu havikosekani sokoni kila uchwao.
Hayo ni makombo ya wazungu tena viatu vingine ni malapu lapu yaliosha sana yana uzwa mpaka mia 500 huku mitaani.
Waafrika ni wavaaji wa makombo na hii tabia imeshmiri kwenye mioyo ya waafrika wanaona kama wao wameumbwa kutumia vitu duni.
Mitumba inamdhalilisha mwfrika hata utetee eti ni biashara kubwa.
Inadhalilisha kivipi sasa wakati hata wewe unaweza kupewa nguo iliyovaliwa na ndugu yako inamaana kukupa nguo atakua amekudharau?
 
Eti tunasema kiatu cha mtumba ni imara kuliko cha dukani..umaskini huu
Mkuu umelipaka mafuta hilo jambo utadhani ni zuri, eti viatu vilivyotumika olympics, hio olympics inafanyika kila mwaka na kila mtu huko hushiiku kiasi kwamva viatu havikosekani sokoni kila uchwao.
Hayo ni makombo ya wazungu tena viatu vingine ni malapu lapu yaliosha sana yana uzwa mpaka mia 500 huku mitaani.
Waafrika ni wavaaji wa makombo na hii tabia imeshmiri kwenye mioyo ya waafrika wanaona kama wao wameumbwa kutumia vitu duni.
Mitumba inamdhalilisha mwfrika hata utetee eti ni biashara kubwa.
 
Habari za asubuhiii bila shakaa wote ni wazima wa afya wakuu, kwa heshima na taadhima naomba kuuliza hivi ni kweliii hizi nguo za mitumba tunazovaa hutupwa kwenye maeneo ya takataka lkn baadae kampuni mbalimbali huzichukua na kuzisafirisha mpk huku kwetu africa. Naomba kuwasilisha wakuu

Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
Sio kweli. Karibu kila mitaa kuna makontena ya kuweka vitu ambavyo huvihitaji, nguo, viatu, nk
 
Kuna Yule Chris Lukosi anapatikana zaidi FB ndio maana anatumbua mihela.
Anauzaga Kwa mnada vitu Kama Saman za ndani kuu kuu hasa. Nahis huwa wanaokota tu.
 
Bongo nguo mapaka mtu ajiridhishe kuwa imechakaa ni shughuli pevu na tena hata akishaona imekuwa haimfai basi anaichoma moto... yaani ilimradi tu iishie kwake awe yeye ndiye wa mwisho kuivaa!

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Hio ni ulaya, bongo mtu akuwekee matunda ule bure bure tu?😅
Pia hata hapa Kuna watu wanaweka miti ya matunda nje ili wapita njia wajiburudishe.Hapa mtaani kwetu Kuna watu kiasi cha wanne tumefanya hivyo na mi binafsi nimepanda miti mitatu ya mipapai kwa ajili ya wapita njia na majirani wenye uhitaji
 
Pia hata hapa Kuna watu wanaweka miti ya matunda nje ili wapita njia wajiburudishe.Hapa mtaani kwetu Kuna watu kiasi cha wanne tumefanya hivyo na mi binafsi nimepanda miti mitatu ya mipapai kwa ajili ya wapita njia na majirani wenye uhitaji
Kwako ni masaki block ipi mkuu?
 
Back
Top Bottom