Unanswered cries
Member
- Dec 2, 2015
- 13
- 1
Kumekuwa na malalamiko kwa baadhi ya Private Candindates kwamba,baraza la mtihani necta wamekuwa wakiwasahihisha vibaya eti kwa sababu walichezea muda wao wakiwa shule hasahasa wale malista.mfano PC hata kama atapiga" A"NECTA hawawezi kumpa hiyo "A"watamkadilia marks?je ni kweli?naombeni msaada wa majibu juu ya malalamiko haya.