Nyaru-sare
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 5,263
- 3,628
Je ana kismart?..... au hana???? kama kipo weee!! tuma tu!! unadhani kwanini watu wanawajengea hawa viumbe Maghorofa? ??? kuna wengine ni kmavi tupu!! yaani ukimmbato kazi hupati, unachukiwaJuzi nimekuna na mdada nikaomba namba kasema hana vocha na hajaikalili namba yake nimnunulie vocha
Nikaona isiwe tabu nikanunua vocha kanibeep kesho yake kaniambia alisahau kujiunga hivyo vocha ya juzi imeisha nimtumie elfu3 ajiunge data
Nikasema poa nikatuma cha ajabu hakujibu kama kaipata mpaka nilipomuuliza vipi vocha imefika?
Ni kama niliibua balaa mara mwenzio nimepata matatizo nikahamaki matatizo gani tenaaa
Nimefiwa
Nanani?? Pole
Na mama...
Duh pole sana
Mara naomba nauli niende msibani Dar
Ooh nikasema hapa nimejikoroga...
Nikamwambie pole bahati mbaya sina kitu kabisa
Jaman K(jina) hata nusu tu
Nikamwambie sina nisingeweza kukunyima
Basi utanitumia ya kurudi
Oh ok ikabidi nikubali yailishe
Toka nimechat nae hajanitafuta nasubiri anitafute wakati wa kurudi
Wadada huu wizi tunaujua
km unajenga ndo kwaanza mafundi wako waaminifu wanakuibia cement!! mpaka jengo lina kwama kupanda, km ulikuwa na kazi nzuri unapigwa chini ghafla bila sababu! unakula kwa shida!! huitiwi kazi na umesoma!
mara utasikia habari ''mwanao kaanguka shimoni hivi tunapozungumza na wewe tuko Tumbi!''' Mara gari yako imekamatwa na Bangi pale Wame! hivi tunaongea na wewe tuko hapa Chalinze! unatakiwa uje na wadhamini wasioupungua kumi!!!
Ndivo wanawake woote walivo!!! hujawahi kuona mtu ana kuwa na mchumba mara huyooo!! kala kona, kapotea ghafla na mahali kila kitu alisha toa??? ukitaka kujua haya maneno yangu wambote Machangu! CD! Ndo utajua wanavo liwa na wafanya biashara wakubwa!
Km CD ana kimavi pale lindoni hatoboi!! atapigwa baridi tuuuuuu!! wateja watamruka tu!! mpaka atakoma mwenyewe!! na wale CDs wana wateja wao maalumu!! wanao wahudumiaga! hao hawakosi na wanapata mkwanja mreeeefu!
Ghetoni kwa CD mzoefu si pa kitoto! nakwambia jaribu kuingia kwenye Gheto la CD utakaa chini!!