Si kweli.Ila ni miezi sita , na sio zaidi ya hapo.kwani baada ya hapo haishauliwi kwani akianza kuota meno, anaweza akang'ata chuchu za mama na kuweza kupata maambukizi, kupitia damu.
Wewe unazungumzia utaratibu wa kila mtoto mchanga anapozaliwa ni lazima atumie maziwa ya mama tu bila kulishwa kitu kingine..kwa muda wa miezi 6, ila baada ya hapo anaanza kulishwa vyakula vingine, huku akiendelea kunyonya hadi miaka 2.Lakini kama mama ni muathirika atamnyonyesha kama kawaida kwa miezi 6, baada ya hapo haishauriwi tena kumnyonyesha maziwa, bali ni kumpa vyakula vingine tu.Nina jua ninalolisemaSi kweli.
Usahihi:
Ananyonyesha maziwa tu (bila kumpa kitu kingine chochote- kwa miezi 6), halafu baada ya miezi 6, anaanza kumchanganyia na chakula kingine hadi mtoto anapofikisha umri wa miaka miwili, anamuachisha kabisa ziwa.
Baada ya exclusive breastfeeding ya miezi 6, anaendelea kumnyonyesha na kumpa chakula kingine hadi mtoto anapofikisha umri wa mwaka mmoja.... Ndo guideline yetu ya Tanzania inavyosema mkuuWewe unazungumzia utaratibu wa kila mtoto mchanga anapozaliwa ni lazima atumie maziwa ya mama tu bila kulishwa kitu kingine..kwa muda wa miezi 6, ila baada ya hapo anaanza kulishwa vyakula vingine, huku akiendelea kunyonya hadi miaka 2.Lakini kama mama ni muathirika atamnyonyesha kama kawaida kwa miezi 6, baada ya hapo haishauriwi tena kumnyonyesha maziwa, bali ni kumpa vyakula vingine tu.Nina jua ninalolisema
Lakini Kuna watu wanakufa , juzi Kati Kuna mtu kafaUKIMWI NI UGONJWA BANDIA KWA AJILI YA PROJECTS ZA WATU.
MNATAKIWA KUELEWA HILO KUANZIA SASA.
😂😂😂 Mtoto akila virus anaenda kutita kama mavi vileSi kweli.
Mama mwenye maambukiz ya VVU ananyonyesha vizuri tu, bila shida yoyote na mtoto hapati maambukizi.
kwani mtoto anavidonda mdomoni , vitapitaje kwenda kwenye damu ya mtoto, otherwise Kuna kitu tumefichwa kuhusu VVUIla ni miezi sita , na sio zaidi ya hapo.kwani baada ya hapo haishauliwi kwani akianza kuota meno, anaweza akang'ata chuchu za mama na kuweza kupata maambukizi, kupitia damu.
Huwa natamani nijue HOW, maana nimeona mtoto mdogo less than 5 years akifariki kwa Ukimwi wa kurithi, nina direct interactions na watu wenye VVU, si mmoja wala wawili na wanakunywa dawa kama part ya maisha yao.UKIMWI NI UGONJWA BANDIA KWA AJILI YA PROJECTS ZA WATU.
MNATAKIWA KUELEWA HILO KUANZIA SASA.
NIMETUMIA NENO UKIMWI KWA SABABU WENGI NDIVYO WALIVYOKARIRISHWA. NENO SAHIHI NI VVU.Huwa natamani nijue HOW, maana nimeona mtoto mdogo less than 5 years akifariki kwa Ukimwi wa kurithi, nina direct interactions na watu wenye VVU, si mmoja wala wawili na wanakunywa dawa kama part ya maisha yao.
Huu ukimwi ni FAKE HOW ,
Ni fake au man made kwa sababu hivi ni vitu viwili tofauti. Unaweza nambia ni man made nikakubali lakini ni BANDIA, itabidi unipe clarification Godzillah
UJINGA MTUPU.Kuna program inaitwa PMTCT( prevention to mother and child transmission).
Mama akipima afya akiwa na maambukuzi ya HIV ataanzishiwa dawa, au atakuwa ameshaanza kutumia dawa kupitia CTC.
Kumbuka maambukuzi ya mtoto hutokea akiwa tumboni( kabla mtoto kuzaliwa wakati wa mimba), pia hutokea wakati wa kujifungua na kunyonyesha.
Dawa za ARV zikitumiwa kwa usahihi na wakati muafaka husaidia kufubaza virusi, kupunguza viral load na kuongeza kinga ya mwili.
Pia wakati kichanga kinazaliwa kinapewa dawa za ARV na dawa za kuzuia magonjwa nyemelezi.
Jitihada zote hizo zikifanyika mtoto atazaliwa bila na maambukizi.
KWANI KUFA WATU WAMEANZA LEO?Lakini Kuna watu wanakufa , juzi Kati Kuna mtu kafa
WEWE USIYEJUA HATA TOFAUTI KATI YA UKIMWI NA VVU UNATAKA KUJITIA UJUAJI?Wewe usiwapoteze wenzio Ukimwi upo na utaendelea kuwepo muhimu ni kufuata masharti na kama unao kula Dozi
Basi Kuna ugonjwa halisi ambao inasababisha upungufu wa Kinga mwilini ila umefichwa auNIMETUMIA NENO UKIMWI KWA SABABU WENGI NDIVYO WALIVYOKARIRISHWA. NENO SAHIHI NI VVU.
NI HIVI, MTU YEYOTE ANAWEZA KUFA KWA UKIMWI, MAANA UKIMWI NI UPUNGUFU WA KINGA MWILINI AMBAO UNAWEZA UKASABABISHWA NA MAMBO MENGI IKIWEMO LIISHE DHAIFU.
LAKINI KITU KINACHOITWA VVU AU HIV HAKIPO NA HAKIJAWAHI KUWEPO.
WANASAYANSI WA MAGHARIBI WALITUMIA ADVANTAGE YA MARADHI YA UKIMWI KUUDANGANYA ULIMWENGU KWAMBA UKIMWI UNASABABISHWA NA VVU.
HYPOTHESIS YA VVU KUSABABISHA UKIMWI MPAKA LEO HAIKUWEZA KUTHIBITISHWA KISAYANSI. NI WATU TU NA MAKAMPUNI YA MADAWA PAMOJA NA TAASISI ZA KIJASUSI WALIAMUA KUUNDA MPANGO WA KUWALISHA WATU ARVS KWA MADHUMUNI WANAYOYAJUA WAO.
NIMEMALIZA.
wameanza mda kufa , ila tunazungumzia watu wanakufa kwa ukimwi wapo wengi tu , na wanao puuzia kutumia ARVsKWANI KUFA WATU WAMEANZA LEO?
Weka ushahidi wa takwimu zilizothibitishwa.wameanza mda kufa , ila tunazungumzia watu wanakufa kwa ukimwi wapo wengi tu , na wanao puuzia kutumia ARVs
Ukiona mama hanyonyeshi mtoto wake jua huyo ni muathirika na anamkinga mtoto wake asipate maambukizi
Kwanini miezi sita ya kwanza na si zaidi?Sio kweli!!hata mama kama ni muathirika huwa wanashauliwa kumyonyesha mtoto miezi sita tu ya mwanzo na sio zaidi.
Mala nyingi watoto huanza kuota meno kuanzia miezi 6, hivyo ni rahisi kumng'ata titi mama, na kutoka damu, hivyo kupelekea kupata maambukizi, ndio maana huwa wanashauri hivyo.Kwanini miezi sita ya kwanza na si zaidi?