LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,104
- 27,085
Kuna Mtoto alizaliwa mwaka 2009 wazazi wake walikuwa waathirika na walifariki miaka minne baadae. Mtoto inasemekana hakupata maambukizi wakati wa kujifungua . Mtoto Sasa hivi yupo darasa la saba na anaonekana ana afya njema Tu.
Je ni Kweli kabisa waathirika wanaweza kujifungua Mtoto asie na maambukizi na akaweza kusurvive ?
How?
Je ni Kweli kabisa waathirika wanaweza kujifungua Mtoto asie na maambukizi na akaweza kusurvive ?
How?