Kutekwa tuDarasa anakunywa pombe ila hali unga
Labda km kaanza Jana
Darasa sio MTU wa kujichanganya anajitambua
Yule mwanamke wake angeachana nae anamlostisha sana
mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
Kutekwa tuDarasa anakunywa pombe ila hali unga
Labda km kaanza Jana
Darasa sio MTU wa kujichanganya anajitambua
Yule mwanamke wake angeachana nae anamlostisha sana
mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
Chidi anaota anaongea na 2Tupac ati yuko CubaKama ni kweli atajijua mwenyewe na familia yake mwenzake Chid kashaanza kuwa chizi.
-Ndumilakuwili-
Jamaa unamjua kiundani sana itakuwa ww ni dada yake darasa au mke Mdogo maana unamkandia mke alienateDarasa anakunywa pombe ila hali unga
Labda km kaanza Jana
Darasa sio MTU wa kujichanganya anajitambua
Yule mwanamke wake angeachana nae anamlostisha sana
mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
VP wazee wa seduce bado mmejifungia chumbani mnaview tu
Halafu kasoma stori yote na comments, Kuna majukwaa kibao huku sijui alifata NiniKwenye hili jukwaa umefuata nini? Siuwende huko wanakodiscuss facts na ideas
Nasikia ni MTU wa Gambe ile mbaaaayaa.Mtaani kuna habari zinasambaa kwa kasi kuwa msanii wa hit song ya muziki, Msanii Darasa anakula unga. Juzi kati nikafanikiwa kumuona kwenye Clouds Tv kwenye show ya jiwe la mwezi pale Morogoro jamaa amepungua sana halafu muda wote alikuwa ana wenge sana.
Je tetesi hizi zina ukweli kiasi gani?
Ushaleta unazi wako hukuWewe unashangaa Darasa kula unga. Kwa nini usishangae Mwenyekiti wa Yanga na diwani wa Mbagala Yusuf Manji akila Unga
Msanii Uwez kaa kinondoni usile unga
Ungeenda kwenye stori za wanaume wa kisukuma, mkadiscus kuhusu maswala ya jando na kutailiwa. Daslam sisi ndio stori zetu izi shubamiiiiiiithizi ndo stori za wanaume wa Daslam, they discuss people and rumours insteady of ideas and facts.
Ngw'ana Kabula