Hivi ni kweli Msanii Darasa anakula unga?

Darasa anakunywa pombe ila hali unga
Labda km kaanza Jana

Darasa sio MTU wa kujichanganya anajitambua

Yule mwanamke wake angeachana nae anamlostisha sana


mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
Jamaa unamjua kiundani sana itakuwa ww ni dada yake darasa au mke Mdogo maana unamkandia mke alienate

Sikujua kama happy anamjua darasa kiundani hivi
 
Wakuu hata mimi nakula saaana unga wa maziwa aina ya LACTOGEN,,
Ugomvi kila siku na bro kua nammalizia kitoto chake maziwa
 
Mtaani kuna habari zinasambaa kwa kasi kuwa msanii wa hit song ya muziki, Msanii Darasa anakula unga. Juzi kati nikafanikiwa kumuona kwenye Clouds Tv kwenye show ya jiwe la mwezi pale Morogoro jamaa amepungua sana halafu muda wote alikuwa ana wenge sana.
Je tetesi hizi zina ukweli kiasi gani?
Nasikia ni MTU wa Gambe ile mbaaaayaa.

Sent from my Compaq desktop-1997 Using Jamiiforums desktop app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom