Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,440
- 92,799
Kama kuna ukweli basi roho yangu isirudi Africa, maana haya mateso niliyopitia yanatosha.Ukipekua pekua sana inasemekana nasema inasemekana kwa sababu sijawahi shuhudia kuna watu wana uwezo wa kutoka kwenye miili yao na kurudi tena kwa maana hiyo huu mwili ndiyo utaoza na kuwa udongo tena ila roho itaishi sasa inaishi vipi na wapi