dega
JF-Expert Member
- Dec 18, 2012
- 3,138
- 3,042
Tendo la kwenda kutubu Kwa binadamu mwenzako NI aibu kubwa Kwa binadamu anaetumia akili yake timamuTunapigana kamba tu mkuu!.. wenye akili wanacheza na bongo zetu wanatufanyia vurugu ili tusile raha hapa duniani!. Just imagine unaenda eti kutubu kwa padri ukiamini yeye ni mtakatifu wakati hujui matendo yake!, serious kama unaakili huwezi fanya hivi am telling you.
Hakuna Cha pepo hakuna cha moto isipokuwa ukienda kinyume na nature laws mazingira yatakuadhibu hapahapa hakuna kusubiri.