kluger
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 2,093
- 1,894
We unastahili makofi akili ikukae sawa, Uzi gani huu unatuletea hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Je, sisi ni violent society? Watanzania wanapenda sana kutumia nguvu kutatua tatizo, kila kitu utasikia nitakutandika, hata JF utasikia mtu anakwambia ungekuwa karibu yangu ningekupiga ngumi, kidogo utasikia yule jamaa karibia nimzabe makofi, sasa ni kwa nini? Ni nani anakupa haki ya kumzaba makofi mwingine? Kwa nini hamuwezi kutatua matatizo bila ya kupiga?
Ukimpiga mtu unasikiaje?
Sent using Jamii Forums mobile app