Hivi ni kwanini Watanzania wameisusa TBC , hata baada ya local Channels kuzimwa ?

Ving'amuzi vinavyotumiwa na watu wengi nchini Tanzania vya DSTV na AZAM vimezima local channels zote na kubakisha TBC peke yake , lakini cha kushangaza wananchi hawataki hata kuangalia local channel pekee inayopatikana kwenye ving'amuzi hivyo pamoja na kwamba gharama yake ni bure !

Hii inamaanisha nini ?
Hili lichaneli lilaaniwe. Siwezi kupoteza muda wangu kuangalia tbccm. Ninalo kwenye ving'amuzi vya azam na dstv. Nina mpango wa kuli-block. Litaleta najisi hapa home.
 
Yani ukijaribu ku compare kati ya TBC na UBC unaona kabisa Tanzania bado tupo nyuma sana kama mikia.
Mimi siangalii tbc hata kwa bahat mbaya sababu haina mvuto. Na muda wa habari hua nakua busy na tamthilia.
 
Hili lichaneli lilaaniwe. Siwezi kupoteza muda wangu kuangalia tbccm. Ninalo kwenye ving'amuzi vya azam na dstv. Nina mpango wa kuli-block. Litaleta najisi hapa home.
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Hizi tafiti nyingine bwana... Hivi umepitia dirishani kwa kila mtanzania mwenye TV ukachungulia ukajiridhisha kuwa wanaangalia chanel gani?, mimi binafsi siangalii TV kabisa, achilia mbali TBC. Ila siwezi kuwaongelea watanzania eti hawaangalii chanel fulani.Muwe mnajiongeza kidogo, sema hata ndugu zangu au rafiki zangu wote kidogo tutakuona unaongelea uhalisia. Tatizo lenu mnahisi kila mtu yupo upande wenu ndo maana mnahisi mna support kubwa na hili swala litawaangusha sana mwakani kwenye uchaguzi. Na najua mtasingizia kuibiwa, ila nitakaa nawakumbusha watanzania sio mafala tena kudeki barabara na kuzungusha mikono hovyo kama NYUMBU.
Mbona umePanic Bro.!!! Wewe ndio mzee tbc mwenyewe nini?? Be cool man
 
Nina mwaka na zaidi sijaangalia taarifa ya habari sababu channel za ITV,Star TV na zinginezo zilifutwa kwenye king'amuzi cha azam wakabiza za kwao na TBC na azam wenyewe hawana taarifa ya habari sijui kwanini.na mimi ni bora niangalie hata katuni za watt kuliko TBC.haina watazamaji nashangaa hata wanaopeleka matangazo TBC sababu haina watazamaji
 
Kumbe hata kuangalia TV huangalii kaka, kwanini unabisha sasa?? Huyu aliyeandika ni muangaliaji,kwahiyo yupo nafasi nzuri kueleza anachokieleza,wewe ilibidi ukae kimya tu.
Mkuu ku guess eti nafanya kazi TBC hakufanyi tafiti yako kuwa kweli. Mi nina zaidi ya mwaka tangu niangalie TV niko bize sana. Ila siwezi kuwasemea watanzania eti wanaangalia chanel fulani. Huo ni Upungufu wa kutumia akili. Mtu yeyote anayetumia LOGIC kufikiria hawezi kukubaliana na wewe. Sema ndugu zako au rafiki zako wote hawaangalii TBC tena. Msiwe mnawasemea watanzania ni UPUMBAVU.
 
Wahenga hawakukosea waliposema.
Unaweza kumpeleka ng'ombe mtoni , lkn huwezi kumlazimisha kunywa maji.
 
Hizi tafiti nyingine bwana... Hivi umepitia dirishani kwa kila mtanzania mwenye TV ukachungulia ukajiridhisha kuwa wanaangalia chanel gani?, mimi binafsi siangalii TV kabisa, achilia mbali TBC. Ila siwezi kuwaongelea watanzania eti hawaangalii chanel fulani.Muwe mnajiongeza kidogo, sema hata ndugu zangu au rafiki zangu wote kidogo tutakuona unaongelea uhalisia. Tatizo lenu mnahisi kila mtu yupo upande wenu ndo maana mnahisi mna support kubwa na hili swala litawaangusha sana mwakani kwenye uchaguzi. Na najua mtasingizia kuibiwa, ila nitakaa nawakumbusha watanzania sio mafala tena kudeki barabara na kuzungusha mikono hovyo kama NYUMBU.
Mbona mkali au unandugu anafanya Kazi TBC?
Anyway huo ndiyo ukweli Mr NYUMBU!
 
Ving'amuzi vinavyotumiwa na watu wengi nchini Tanzania vya DSTV na AZAM vimezima local channels zote na kubakisha TBC peke yake , lakini cha kushangaza wananchi hawataki hata kuangalia local channel pekee inayopatikana kwenye ving'amuzi hivyo pamoja na kwamba gharama yake ni bure !

Hii inamaanisha nini ?
Lete utafiti wako,unaothibisha unachokisema,maana pia mimi ni mtanzania,lkn TBC huwa naicheki Mara kwa Mara,nikibadilisha TBC safari au azam,sasa unaposema watanzania inamaana hata Mimi simo! Na je mkutano wa Mheshiwa Raisi na wafanya bi.ashara Watu waliufuatlia kwa kupitia channel gani!?
 
Back
Top Bottom