lulu za uru
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 2,182
- 2,685
Unakutana nao wapi wewe mpaka wakuombe RUSHWA ?
Hawa wengine wanaofanana nao unakutana nao ukivunja sheria za barabarani,ukiwa mhalifu kwenye vituo vyao,mahakamani ukiwa na kesi na kadhalika.
Kwahiyo mazingira yao ya kazi wanatofautiana japo yote ni majeshi
Ni kwa zamu tuu kamanda. Nao pia walisulubika kabla ya kupanda, hivyo nawe kaza buti hadi utakapofikia hukoTunaoumia ni sisi kuruti na Service man. Hao wenye mawe yao mabegani wanakula shumbwela tu na kuagiza.
Unazungumzia sheria gani ? Unge'specify, za barabarani aunaomba kuuliza, ivi JW wanafundishwa sheria au Je wanafundishwa kukamata raia na kupeleleza case!!!
Polis huwa kuna sheria zinawaongoza za namna ya kudili na raia ,je na wao wanafundishwa sheria izo, na wakikamata mtuhumiwa,je uweza kuitwa mahakaman kuwa shaidi upande mashtaka,. emmyUnazungumzia sheria gani ? Unge'specify, za barabarani au
Ndio hata wao wanaweza kukamata raia
JWTZ hawapepelezi kesi
Mkuu somo la uraia lilitufundisha jukumu la ulinzi ni la wananchi wote kwa hiyo wote ni wajeda comment humuhumuTusiokuwa mijeda tunajibu na ku comment wapi?