Hivi ni kwanini vitu hivi viko kwa wanajeshi?

Ila je wanarogeka ? !!!

liafande rimke si ritakuwa rimekomaa hilo?!! naniliu itakuwa ngumuuu !! sijawahi ona ke mwanajeshi wameolewa na raia !! au wanaogopa kula vitasa!.... utashitaki wapi umepigwa na Manzi?? ok! akienda polisi amevaa ki raia!! utachekwa mpaka ujifie!!!

Mbaya zaidi mjeda!! polisi tu hatii team!! sasa oa mke wa pili uone!! muuunganishwe kwa kipigo!! utakimbilia wapi na huyo wewe umeoa siri ya nchi? ole wako akufuate huko ukimbizini!!! heee!

make si mazoezi yale wajameni !! kila mara ke na me' bila kujali wanachimba mitaro kwa Mananiliu!! Tena faster! mweee!!!

hapo hapana ai see!! JWTz mniwie radhi!
 
Nilikuwa natizama taarifa ya habari hapa ITV mwanajeshi mmoja anasema walipewa assignment ya kulima hekari 1300 za mahindi wao wakalima hekari 1500.

Jeshi likipewa mradi let's say uishe ndani ya mwenzi 1 wao watakufanyia ndani ya siku 28, 27 au muda kamili. Daraja ikikataa wao ni dk0 wanalisimamisha, hawali rushwa kama kada zinazowafanania, ni nadra kuwakuta wakivunja sheria yaani ni nadra sana sana kukuta mwanajeshi anakula rushwa.

Wakiwa mtaani wengi ni watu wa kujishusha ila ukimchokoza tu ndio utaelewa maana ya mwanajeshi. Mimi sikufanikiwa kupita mafunzo yoyote ya jeshi mpaka nilipoishia kielimu. Natamani sana kujua kuwa ni mafunzo gani hupewa hasa mpaka wanakuwa na nidhamu na weledi wa juu katika kazi.
Jua kwamba watakacho kifanya sio kwa long term ni kwa matumizi ya muda mfupi, ili serikali ijipange na solution ya muda mrefu.
mfano wakijenga daraja lililokatika wabongo mnataka kutumia milele, ndio maana hayadumu
 
Mtoa maada unawajua vizuri hao jamaa au unawasikia! Hakuna wapole huko na kujishusha hawawezi na ndio maana hapa mtaani wanapigika sana huko bar wanapigwa sana ktk harakati za kugombea mademu ila jamaa wana umoja sana,akipigwa mmoja inakuja team.Jamaa ni wepesi ila nashangaa mnavyowaogopa
 
Nilikuwa natizama taarifa ya habari hapa ITV mwanajeshi mmoja anasema walipewa assignment ya kulima hekari 1300 za mahindi wao wakalima hekari 1500.

Jeshi likipewa mradi let's say uishe ndani ya mwenzi 1 wao watakufanyia ndani ya siku 28, 27 au muda kamili. Daraja ikikataa wao ni dk0 wanalisimamisha, hawali rushwa kama kada zinazowafanania, ni nadra kuwakuta wakivunja sheria yaani ni nadra sana sana kukuta mwanajeshi anakula rushwa.

Wakiwa mtaani wengi ni watu wa kujishusha ila ukimchokoza tu ndio utaelewa maana ya mwanajeshi. Mimi sikufanikiwa kupita mafunzo yoyote ya jeshi mpaka nilipoishia kielimu. Natamani sana kujua kuwa ni mafunzo gani hupewa hasa mpaka wanakuwa na nidhamu na weledi wa juu katika kazi.
Mara nyingi wanapokea mshahara bila ya kufanya kazi, ni nadra kuwakuta wana kazi wanayofanya.
 
Nilikuwa natizama taarifa ya habari hapa ITV mwanajeshi mmoja anasema walipewa assignment ya kulima hekari 1300 za mahindi wao wakalima hekari 1500.

Jeshi likipewa mradi let's say uishe ndani ya mwenzi 1 wao watakufanyia ndani ya siku 28, 27 au muda kamili. Daraja ikikataa wao ni dk0 wanalisimamisha, hawali rushwa kama kada zinazowafanania, ni nadra kuwakuta wakivunja sheria yaani ni nadra sana sana kukuta mwanajeshi anakula rushwa.

Wakiwa mtaani wengi ni watu wa kujishusha ila ukimchokoza tu ndio utaelewa maana ya mwanajeshi. Mimi sikufanikiwa kupita mafunzo yoyote ya jeshi mpaka nilipoishia kielimu. Natamani sana kujua kuwa ni mafunzo gani hupewa hasa mpaka wanakuwa na nidhamu na weledi wa juu katika kazi.
Encryption
 
Nilikuwa natizama taarifa ya habari hapa ITV mwanajeshi mmoja anasema walipewa assignment ya kulima hekari 1300 za mahindi wao wakalima hekari 1500.

Jeshi likipewa mradi let's say uishe ndani ya mwenzi 1 wao watakufanyia ndani ya siku 28, 27 au muda kamili. Daraja ikikataa wao ni dk0 wanalisimamisha, hawali rushwa kama kada zinazowafanania, ni nadra kuwakuta wakivunja sheria yaani ni nadra sana sana kukuta mwanajeshi anakula rushwa.

Wakiwa mtaani wengi ni watu wa kujishusha ila ukimchokoza tu ndio utaelewa maana ya mwanajeshi. Mimi sikufanikiwa kupita mafunzo yoyote ya jeshi mpaka nilipoishia kielimu. Natamani sana kujua kuwa ni mafunzo gani hupewa hasa mpaka wanakuwa na nidhamu na weledi wa juu katika kazi.
Uzalendo Uzalendo Uzalendo hicho ni kitu muhimu Sana.
Lakini pia Umoja na Mshikamano. Ukichoka nitafanya kwaajili yako bila hiyana hali hii itaondoa uchovu wako na kukupa nguvu ya kuendelea ama kuanza upya. Mafunzo mengi wanayapata JKT. Hawafundishwi biashara mzee kwaiyo hawafanyi Kazi waki demand faida hali hii inaondoa tamaa inayopelekea kuomba Rushwa. Sijasema kada nyingine zinaomba Rushwa kwasababu ya wamefundishwa biashara No ila jamaa wanajengwa kiakili kuwa utakachopewa ndio Stahiki yako kutoka kwa Nchi yako. Neno JESHI LA WANANCHI lina maana kubwa Sana kwao. Muulize aliepita Monduli
 
Nilikuwa natizama taarifa ya habari hapa ITV mwanajeshi mmoja anasema walipewa assignment ya kulima hekari 1300 za mahindi wao wakalima hekari 1500.

Jeshi likipewa mradi let's say uishe ndani ya mwenzi 1 wao watakufanyia ndani ya siku 28, 27 au muda kamili. Daraja ikikataa wao ni dk0 wanalisimamisha, hawali rushwa kama kada zinazowafanania, ni nadra kuwakuta wakivunja sheria yaani ni nadra sana sana kukuta mwanajeshi anakula rushwa.

Wakiwa mtaani wengi ni watu wa kujishusha ila ukimchokoza tu ndio utaelewa maana ya mwanajeshi. Mimi sikufanikiwa kupita mafunzo yoyote ya jeshi mpaka nilipoishia kielimu. Natamani sana kujua kuwa ni mafunzo gani hupewa hasa mpaka wanakuwa na nidhamu na weledi wa juu katika kazi.
Kuna mambo mengi ndani ya jeshi. Hayo uliyotaja ni yale unayoyajua.
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom