kichwa kikubwa
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 2,275
- 1,698
Utakuwa unatoka ktk familia ya ki-ccm.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Mimi nikupe siri moja ni kijana tu ambaye baada ya kusoma shahada yangu na kujifunza vingo toka nikiwa chuo kikuu nimekuja kugundua wapinzani wengi wanafanya siasa za kijinga sanaaa,isitoshe nimemaliza shahada yangu mwaka 2018 mpaka sasa sina Ajira lakini.Maana usije ukani judge kwambaa nakula mema ya nchi la hasha.Uzalendo tu wa JKT na kukaaa mtaani kuona mambo makubwa ambayo serikali inafanya nikikaa na kuona naumia sana yani natamani niingie kwenye vichwa vya hao wanasiasa wa kipinzani wanaotafuta kiki kila kukicha.Maendeleo hayana vyama mkuu,hii ni nchi yetu sote tuijenge.Nadhani umenielewa Mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app