Lihakanga
JF-Expert Member
- Dec 17, 2016
- 4,829
- 6,382
Unafiki wa ajabu sana. Angeanza na babake na mamake, kisha afuate yeye.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Unafiki wa ajabu sana. Angeanza na babake na mamake, kisha afuate yeye.
Haya yote ni maneno ya waliyoshindwa. Haya Kaa hapo usubiri mapaka serikali itakapokurekebishiaWe mbuzi, tutatafutia wapi kwa tabia zile za TRA? Hukamata dagaa na kuacha kambale wakiogelea bila hofu. Ukianzisha biashara kidogo tu mtaji wa 1m, TRA hawa hapa. Kodi 150,000/= mara TFDA 50000, huku leseni 35,000, kiongozi wa mtaa anataka 3000 kula mwezi mapato ya kijiji.
Haya yote ni kukusanya mapato kwa wanyonge wakati wenye biashara kubwa wanakwepa na hawafanywi lolote.
Leo serikali inachukua kodi hadi miamala ya maskini ya sh 5000. Huku wauza wauza magari hawalipi kodi.
Narudia, iko siku Tanzania tutagawana kwa kukimbilia.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Mti wenye matumdaNimekuwa nikiona kila dili chafu familia hi itatajwa kuhusika kwake directly or indirectly. Nimepita mahali humu humu JF nikakuta anahusishwa na dili la bandari jamaa alifika mbali akasema, hata hi DP World ni ya Ridhiwan "
Sasa najiuliza mbona kila dili chafu familia hi inahusishwa
Madili yanayohusishwa nayo
Madawa ya kulevya wapo
Home shopping center wapo
Hata huko Arusha inasemekana jamaa anamiliki mgodi wa Tanzanite ambapo mrangi mmoja kwa jina la Hussen Gomba ndiye anasimamia biashra hyo.
Huku Tena kwenye gasi wapo
Dili la Tegeta Escrow wapo
Vitalu vya uwindaji jamaa wapo
Viwanja na mashamba makubwa wapo
Magorofa na majengo marefu wapo
Viwanda vilivyopo Pwani kwao huko Bagamoyo nayo wanahusishwa navyo
Stand ya Sabasaba hapo Dodoma wanasema eneo hilo ni la Ridhiwani
Majumba mazuri huko Kigamboni Mbutu nayo nilisikia Ni ya kwao
Kwa kifupi ni kwamba kila dili lolote liwe chafu au safi wao wapo .
Je, Ni Kweli wanahusishwa kwa ushaihid au Ni wivu tu?
Nakaribisha mawazo kama kuna dili lolote unalifahamu kuhusisha kwake alfu
Unaweza kututajia na kutubainishia hapa mkuuSio zote kuna baadhi wamepewa shares tuu na nyingine nyingi wametumika bila kujua
His days are numbered.Kama kweli Mungu yupo, kuna siku atajibu tu. Huu uhuni wa kikwete ni janga kwa nchi hii. Wizi wowote wa kitaifa yumo hata kwa kushirikiana na wageni.
Kajenga majengo hadi vijijini kwa majina ya watu. Lingalangala anafahamu na kutumika pia.
Kwani hao wanaotawala NIGER na jana GABON walikuwa ndugu za watawala mafisadi na magenge yao?Kosa kubwa alilofanya ni kuruhusu John kuwa rais akawageukia,, hii iliwarudisha sana nyuma na ndio maana sasa hivi "wanafidia" muda na rasilimali wazizopoteza,, haitatokea wakaruhusu wa kariba tofauti ya yao kuwa rais wa nchi hii,, never
Maana yako nini,, kwamba jeshi lishike hatamu ama ni wapi sijakuelewa,,Kwani hao wanaotawala NIGER na jana GABON walikuwa ndugu za watawala mafisadi na magenge yao?
Kama huelewi nenda shule ya kata ukasome siku hizi ni bure!! Halafu nyie vichwa nazi ndio mnalamba asali!!Maana yako nini,, kwamba jeshi lishike hatamu ama ni wapi sijakuelewa,,
Punguza makasiriko ugumu wa maisha yako sijasababisha mimi mlaumu mama yako hakufanya chaguo sahihi la mtu wa kuzaa naye,, turudi kwenye mada, pole,,Kama huelewi nenda shule ya kata ukasome siku hizi ni bure!! Halafu nyie vichwa nazi ndio mnalamba asali!!
Mama yangu alifanya chaguo sahihi hakumchagua fisadi na mwizi kama mama yaka ; na ndio maana na wewe ni punguani , mwizi na fisadi mtoto!!Punguza makasiriko ugumu wa maisha yako sijasababisha mimi mlaumu mama yako hakufanya chaguo sahihi la mtu wa kuzaa naye,, turudi kwenye mada, pole,,
Unataka awahishwe kwenye ule wito wa wote au vpHuyu Mzee ndiye chanzo Cha serikali hii kwenda mzobemzobe, kuendelea kuishi kwa huyu Mzee ni hatari kwa ustawi wa nchi.
Nani Tena huyo mzee wa makontenaJe, wenyewe wamekanusha na Mze wa makontena ya China anasemaje juu ya hili?
Kila siku nimekuwa nikiwa text January na riziwani lkn hajibu pm zanguKawaone hiyo familia
jiangalie fanya Dili halaliKama mm Sasa yaani Hakuna dili hata moja nimewai kufanya likatiki
Hana hata MojaUnaweza kututajia na kutubainishia hapa mkuu
Walizopewa share
Walizotumika bila kujua
Tuhuma zao zimetumwa humu humu Wala siajtoa popoteItakuwa wewe ndio unawahusisha siyo mimi.
Kuna watu wamezaliwa ili waje kuishi alafu kuna nyinyi mmezaliwa ili mje kuzurula mfe