ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 20,107
- 29,158
Kufa atakufa tu si ameshazeeka au huku nako unaleta uchawa!Umekuwa Mungu ujue mwisho wa uhai wake? Tuambie Tarehe basi kama unaijua! Ikitokea tutakuamini kuwa wewe kweli ni mnajim!!
Kufa atakufa tu si ameshazeeka au huku nako unaleta uchawa!Umekuwa Mungu ujue mwisho wa uhai wake? Tuambie Tarehe basi kama unaijua! Ikitokea tutakuamini kuwa wewe kweli ni mnajim!!
Huyu Mzee ndiye chanzo Cha serikali hii kwenda mzobemzobe, kuendelea kuishi kwa huyu Mzee ni hatari kwa ustawi wa nchi.Kikwete ni fisadi wa kuzaliwa; hii inatokana na kuwa alitoka kwenye familia fukara!! Madili yote machafu yeye baba mtu Jakaya ndio muasisi!! Kwa kifupi kwa wale wasiojua kuwa matatizo yote ya Kampuni ya IPTL yeye ndio aliyeyaleta ;
Kukodisha ndege AIRBUS mbovu kutoka kwa mturuki kulikofanywa na ATCL wakati Mataka ndio CEO , yeye alihusika na wale wanapolipwa lile deni in $$ na Serikali anapata mgao wake! Mambo machafu anayohusika nayo ni mengi hayaelezeki hata kule Samia kumpeleka Ridhwani kuwa naibu wizara ya Ardhi ilikuwa design yake baba mtu ili waweze kuhodhi Ardhi sehemu nyingi nchini!!
Anahusishwa pia na Kampuni ya mafuta ya Lake oil !! Ndio maana haishangazi kuona kampuni ya Mafuta ya LAKE OIL kuwa na petrol stations nyingi nchini hata sehemu za makazi ambapo kisheria hairuhusiwi kujenga hivyo vituo!!
Na bado hajaridhika ananyemelea madili mapya ya bandari kwani kupitia mgongo wa KARAMAGI alikuwa anapata mgao wakati TICTS wakiendesha hizo Bandari!!!!!
We mbuzi, tutatafutia wapi kwa tabia zile za TRA? Hukamata dagaa na kuacha kambale wakiogelea bila hofu. Ukianzisha biashara kidogo tu mtaji wa 1m, TRA hawa hapa. Kodi 150,000/= mara TFDA 50000, huku leseni 35,000, kiongozi wa mtaa anataka 3000 kula mwezi mapato ya kijiji.Watanzania wanaopenda umbea. Leo waambie Samia ndiye mmiliki wa DP world wote wataunga mkono.
Mtakufa maskini Wapumbavu nyie. Na umasikini hauishi kwa kumchukia tajiri, tafuteni pesa wekeni kwenye familia zenu.
Acheni majungu na Umbeya, Qmamake
Anatufanya wengine tuishi maisha magumu kwa tamaa zake. Kwani huelewi?Kama ni hivyo chuki zenu kwa kikwete zinatokana na nini haswa kiasi cha kumsingizia kila kitu?!!!!!!
On contrary, huyo ndo alifanya hata muweze kuongea kama hivi.......aliwasomesha na kuwafundisha kuongea. Sasa hv mnajiona wajaaaaanja wenyeweAnatufanya wengine tuishi maisha magumu kwa tamaa zake. Kwani huelewi?
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Usicheke kwenye matatizo mkuu
Kuna sehemu nimesema tarehe... Kwa taarifa yako kila binadamu ukiwepo wewe, yuko kwenye siku zake za mwisho za maisha yake.Umekuwa Mungu ujue mwisho wa uhai wake? Tuambie Tarehe basi kama unaijua! Ikitokea tutakuamini kuwa wewe kweli ni mnajim!!
Manabii wa uongo mko wengi!Kuna sehemu nimesema tarehe... Kwa taarifa yako kila binadamu ukiwepo wewe, yuko kwenye siku zake za mwisho za maisha yake.
Endelea kushangaa na ushangao wako....
Ndio hivyo. Hakuna aijuaye kesho. Magu alipiga jaramba akitaka katiba ibadilike aendelee kuongoza atakavyo.... Ziraili akamwambia No Way... Kawaacha kina Mzee Mwinyi na Kikwete wanadunda tu...Manabii wa uongo mko wengi!
Usicheke kwenye matatizo mkuu
Je, wenyewe wamekanusha na Mze wa makontena ya China anasemaje juu ya hili?Nimekuwa nikiona kila dili chafu familia hi itatajwa kuhusika kwake directly or indirectly. Nimepita mahali humu humu JF nikakuta anahusishwa na dili la bandari jamaa alifika mbali akasema, hata hi DP World ni ya Ridhiwan "
Sasa najiuliza mbona kila dili chafu familia hi inahusishwa
Madili yanayohusishwa nayo
Madawa ya kulevya wapo
Home shopping center wapo
Hata huko Arusha inasemekana jamaa anamiliki mgodi wa Tanzanite ambapo mrangi mmoja kwa jina la Hussen Gomba ndiye anasimamia biashra hyo.
Huku Tena kwenye gasi wapo
Dili la Tegeta Escrow wapo
Vitalu vya uwindaji jamaa wapo
Viwanja na mashamba makubwa wapo
Magorofa na majengo marefu wapo
Viwanda vilivyopo Pwani kwao huko Bagamoyo nayo wanahusishwa navyo
Stand ya Sabasaba hapo Dodoma wanasema eneo hilo ni la Ridhiwani
Majumba mazuri huko Kigamboni Mbutu nayo nilisikia Ni ya kwao
Kwa kifupi ni kwamba kila dili lolote liwe chafu au safi wao wapo .
Je, Ni Kweli wanahusishwa kwa ushaihid au Ni wivu tu?
Nakaribisha mawazo kama kuna dili lolote unalifahamu kuhusisha kwake alfu
Kama mm Sasa yaani Hakuna dili hata moja nimewai kufanya likatiki
Watawala wa Africa hao kila fursa yaoNimekuwa nikiona kila dili chafu familia hi itatajwa kuhusika kwake directly or indirectly. Nimepita mahali humu humu JF nikakuta anahusishwa na dili la bandari jamaa alifika mbali akasema, hata hi DP World ni ya Ridhiwan "
Sasa najiuliza mbona kila dili chafu familia hi inahusishwa
Madili yanayohusishwa nayo
Madawa ya kulevya wapo
Home shopping center wapo
Hata huko Arusha inasemekana jamaa anamiliki mgodi wa Tanzanite ambapo mrangi mmoja kwa jina la Hussen Gomba ndiye anasimamia biashra hyo.
Huku Tena kwenye gasi wapo
Dili la Tegeta Escrow wapo
Vitalu vya uwindaji jamaa wapo
Viwanja na mashamba makubwa wapo
Magorofa na majengo marefu wapo
Viwanda vilivyopo Pwani kwao huko Bagamoyo nayo wanahusishwa navyo
Stand ya Sabasaba hapo Dodoma wanasema eneo hilo ni la Ridhiwani
Majumba mazuri huko Kigamboni Mbutu nayo nilisikia Ni ya kwao
Kwa kifupi ni kwamba kila dili lolote liwe chafu au safi wao wapo .
Je, Ni Kweli wanahusishwa kwa ushaihid au Ni wivu tu?
Nakaribisha mawazo kama kuna dili lolote unalifahamu kuhusisha kwake alfu
Kuna watu wamezaliwa ili waje kuishi alafu kuna nyinyi mmezaliwa ili mje kuzurula mfe
Kuna watu wamezaliwa ili waje kuishi alafu kuna nyinyi mmezaliwa ili mje kuzurula mfe
Jipe moyoWote after 70 years huelekea kaburini
Jipe moyo