dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 9,410
- 15,993
Nimekuwa nikiona kila dili chafu familia hi itatajwa kuhusika kwake directly or indirectly. Nimepita mahali humu humu JF nikakuta anahusishwa na dili la bandari jamaa alifika mbali akasema, hata hi DP World ni ya Ridhiwan "
Sasa najiuliza mbona kila dili chafu familia hi inahusishwa
Madili yanayohusishwa nayo
Madawa ya kulevya wapo
Home shopping center wapo
Hata huko Arusha inasemekana jamaa anamiliki mgodi wa Tanzanite ambapo mrangi mmoja kwa jina la Hussen Gomba ndiye anasimamia biashra hyo.
Huku Tena kwenye gasi wapo
Dili la Tegeta Escrow wapo
Vitalu vya uwindaji jamaa wapo
Viwanja na mashamba makubwa wapo
Magorofa na majengo marefu wapo
Viwanda vilivyopo Pwani kwao huko Bagamoyo nayo wanahusishwa navyo
Stand ya Sabasaba hapo Dodoma wanasema eneo hilo ni la Ridhiwani
Majumba mazuri huko Kigamboni Mbutu nayo nilisikia Ni ya kwao
Kwa kifupi ni kwamba kila dili lolote liwe chafu au safi wao wapo .
Je, Ni Kweli wanahusishwa kwa ushaihid au Ni wivu tu?
Nakaribisha mawazo kama kuna dili lolote unalifahamu kuhusisha kwake alfu
Sasa najiuliza mbona kila dili chafu familia hi inahusishwa
Madili yanayohusishwa nayo
Madawa ya kulevya wapo
Home shopping center wapo
Hata huko Arusha inasemekana jamaa anamiliki mgodi wa Tanzanite ambapo mrangi mmoja kwa jina la Hussen Gomba ndiye anasimamia biashra hyo.
Huku Tena kwenye gasi wapo
Dili la Tegeta Escrow wapo
Vitalu vya uwindaji jamaa wapo
Viwanja na mashamba makubwa wapo
Magorofa na majengo marefu wapo
Viwanda vilivyopo Pwani kwao huko Bagamoyo nayo wanahusishwa navyo
Stand ya Sabasaba hapo Dodoma wanasema eneo hilo ni la Ridhiwani
Majumba mazuri huko Kigamboni Mbutu nayo nilisikia Ni ya kwao
Kwa kifupi ni kwamba kila dili lolote liwe chafu au safi wao wapo .
Je, Ni Kweli wanahusishwa kwa ushaihid au Ni wivu tu?
Nakaribisha mawazo kama kuna dili lolote unalifahamu kuhusisha kwake alfu