Najijua
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 1,039
- 180
Wadau najaribu kutafakari hii slogan ya mzee Pinda ya kilimo Kwanza, kila siku gharama za chakula zinapanda kila siku zinapanda mfn:- Sukari imetoka 1600 - 2500/=Tshs, ,mchele toka 1000 - 1700/=Tshs maharage toka 800 - 1400/=Tshs, na bado wanatuambia Kilimo Kwanza nadhani mambo yalikuwa afadhali sana kabla ya hii falsafa
Tuamke tufanye jambo ilin serikali ijue kuwa maisha yanapanda kila siku na wanachi hatuwezi kuyamudu, sisi hatuna allowances kama wanazojilipa wao ambao zinafidia mishahara na mifumuko ya bei
Tuamke tufanye jambo ilin serikali ijue kuwa maisha yanapanda kila siku na wanachi hatuwezi kuyamudu, sisi hatuna allowances kama wanazojilipa wao ambao zinafidia mishahara na mifumuko ya bei