chinchilla coat
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 5,107
- 10,961
Unawajaza watu ujinga kiongozinadhani uko sahihi. Sema wengi wetu tumekariri. Kuku wa kienyeji pure anafaida sana ukimaanisha biashara kweli.
Pia kunanjia nyingi za kuminimise cost kwa kuku kienyeji kuliko hao kuroiler.
Zaid ya hapo nyama kuroiler hata kwa dawa haiwez fikia kwa kuku toka musoma.
Watu wanaangalia sana muda bila kujifunza ni kwa namna gani ya kuweza kuzalisha kwa wingi na kupunguza gharama ili upate faida zaidi.
Mfano mimi naweza nikanunua labda matetea 100 na majogoo 10. Nikitarget kwa muda miezi sita na kumaanisha biashara kweli na naweza jikuta nafikisha mtaji hata wa kuku 3000 wakafi wewe utakuwa baado unahangaika na chotara wako ila mim naweza kuwa nishauza vifaranga hata 2000kwa kuku hata1000 na nikaangiza milion mbili wakat weye umejibana ukanunua vifaranga 1000 kwa miezi yote pata faida ya kiwango changu
Kuku wa kienyeji wanakuwa taratibu sana
Hadi kufikisha hao kuku 3000 kwa kutumua hao kuku 100 utatumia muda mrefu sana
Wakati anayefuga kisasa keshauza kuku hata mara 10 zaidi ya hao ndani ya muda huo
Kuku wa kienyeji labda uwafugw nyumbani kwa ajili ya kula tu sio biashara, utasubiri sana