Mujaya MJ
New Member
- Nov 18, 2020
- 1
- 0
Umesema ukweli na asante sana kwa somo zuri.
Jambo la muhimu sana si kuweka ukomo wa mawazo kwamba lazima mfugaji anunue Kuroiler kutoka kwa AKM Glitters.
Msisitizo unatakiwa uwe kama unataka kufuga kuku wa Kuroiler unatakiwa ujiridhishe kama msambazaji/mfugaji anayekuuzia vifaranga wa Kuroiler ana cheti cha ithibati kutoka Kegg Farm India ambao ndio wazalishaji na wasambazaji wa Kuroiler wazazi duniani.
Pia wafugaji wanaotaka kuuza vifaranga wa Kuroiler inatakiwa wapate mafunzo kutoka Kegg Farm, wafanyiwe majaribio ya ubora kisha wapate cheti cha ithibati ya kusambaza vifaranga ambao ni F1.
Tuache kuibia watu na kiwadhulumu kwa kuwauzia vifaranga ambao sio uzao wa kwanza.
Ukihitaji kujua zaidi nicheki 0768678122.
Jambo la muhimu sana si kuweka ukomo wa mawazo kwamba lazima mfugaji anunue Kuroiler kutoka kwa AKM Glitters.
Msisitizo unatakiwa uwe kama unataka kufuga kuku wa Kuroiler unatakiwa ujiridhishe kama msambazaji/mfugaji anayekuuzia vifaranga wa Kuroiler ana cheti cha ithibati kutoka Kegg Farm India ambao ndio wazalishaji na wasambazaji wa Kuroiler wazazi duniani.
Pia wafugaji wanaotaka kuuza vifaranga wa Kuroiler inatakiwa wapate mafunzo kutoka Kegg Farm, wafanyiwe majaribio ya ubora kisha wapate cheti cha ithibati ya kusambaza vifaranga ambao ni F1.
Tuache kuibia watu na kiwadhulumu kwa kuwauzia vifaranga ambao sio uzao wa kwanza.
Ukihitaji kujua zaidi nicheki 0768678122.