theriogenology
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 8,750
- 15,641
- Thread starter
- #41
Kuna ambao wanapatikana wa mwezi mmoja na wale wa day old chick...Asante kwa ushauri ,mimi nahitaji kuku chotara iyo first generation je hayo makampuni makubwa wanauza vifaranga vya mwezi mmoja au wanauza vya siku tuu.?
Ni wewe unaangalia ni wapi wenye unafuu kwako, ila kama lengo lako ni kufuga kuku wa mayai ni vyema ukasubili wa mwezi mmoja ili kuepuka kuuziwa majogoo mengi au kama lengo lako ni kupata nyama ni vyema si mbaya ukachukua day one old chick maana proportion ya jogoo huwa juu zaidi ya matetea...
Pia, kws day one old chick ukipata mtaalamu mzuri anaweza akawatofoutisha...
Ahsante...
Sent using Jamii Forums mobile app