Majestic wolf
JF-Expert Member
- Feb 10, 2015
- 1,248
- 1,849
Kalewa huyo msamehe....Alafu mods kama ikiwezekana(sijui kivipi) mtu atakaepost akiwa ndi ndi ndi apigwe banWewe ni ndugu yake Kitwanga??
Mbona umejibu kwa jazba sana??
Kalewa huyo msamehe....Alafu mods kama ikiwezekana(sijui kivipi) mtu atakaepost akiwa ndi ndi ndi apigwe banWewe ni ndugu yake Kitwanga??
Mbona umejibu kwa jazba sana??
Mkuu unaniua mbavu, wakat nikisubir performance ya Jaydee hapaAna Masters ya TBL.
Ukweli unaumaWewe ni ndugu yake Kitwanga??
Mbona umejibu kwa jazba sana??
Wakati mwingine kama mtu huna hoja bora kukaa kimya kuliko kuandika vivuko.Mawaziri wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania huteuliwa na Raisi kusimamia Wizara zitakazoundwa kulingana na Taaluma zao. Aidha kuna Wizara nyeti ambazo ni lazima taaluma ya Waziri na hata Naibu Waziri izingatiwe sana.
Tuje upande wa pili wa upinzani ambapo kuna mawaziri vivuli, je suala la waziri kivuli na taaluma yake na wizara anayopangiwa, je linazingatiwa?
Mfano John Mnyika ni waziri kivuli katika wizara ya nishati, madini na gesi, je kwa unyeti wa wizara hii, anayo taaluma ya nishati, madini ama gesi?
Godbles Lema nae ni waziri kivuli katika wizara ya ulinzi na usalama, je alishapitia japo mgambo?
Huwa napata shida sana mawaziri vivuli wanapowasilisha bajeti zao maana ni kama unaona kabisa hawajui wanachokiwasilisha pengine kwa kukosa taaluma ya kutosha katika kile wanachokomalia serikali ifanye.
vivuko viko wapi wewe panzi? Umeona sawa wizara kusimamiwa na vilaza kama hao? Halafu wanaleta utoto kwenye mambo ya taaluma?Wakati mwingine kama mtu huna hoja bora kukaa kimya kuliko kuandika vivuko.