KiuyaJibu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2007
- 841
- 175
Ina nipa matumaini kuwa kuwa na uwezekano mkubwa wa binadamu na viumbe hai wengine kwenda kuishi huko kama vile mtu anavyo amua kutoka sehemu moja kwenda nyingine;nafikiri sayari ya Mars(Sayari nyekundu) itakuwa ni sehemu mojawapo pia.
Big up to NASA and their partners.
Big up to NASA and their partners.