Watafiti wamepata ushaidi wa kwanza uwepo wa maji katika sayari ya Mars

Mzawa_G

JF-Expert Member
Feb 27, 2014
667
1,467
Kile wanachoamini kuwa ziwa kiko katika eneo lenye barafu nyingi la kusini na lina ukubwa wa kilomita 20.

Utafiti wa awali ulipata ishara za maji yanayopita katika sakafu ya sayari hiyo, lakini hiyo ni ishara ya kwanza ya maji kuonekana katika sayari hiyo katika siku za hivi karibuni.

Maziwa yaliogunduliwa na Nasa yalionyesha kwamba maji yalikuwepo katika sakafu ya sayari hiyo katika siku za nyuma.

Hatahivyo, hali ya anga ya sayari hiyo ni baridi na hivyobasi kufanya maji yake kubadilika na kuganda.

Matokeo yake yanafurahisha kwa sababu wanasayansi wametafuta kwa muda mrefu ishara ya kuwepo kwa maji katika sayari ya Mars lakini hawakufanikiwa kupata ushahidi wowote.

Pia itawafurahisha wale wanaofanya utafiti wa kuwepo kwa uhai mbali na duniani-licha ya kwamba matokeo hayo hayajatoa ushahidi wowote wa kuwepo kwa viumbe.

Ugunduzi huo ulifanyika kwa kutumia kifaa chenye radar kilichokuwa ndani ya kituo cha anga cha Ulaya kwa jina Mars Express orbiter.

Ziwa hilo liko chini ya barafu kusini mwa eneo la barafu la Mars
"Pengine huenda sio ziwa kubwa sana , alisema Profesa Orosei kutoka taasisi ya maswala ya angani inayohusika na asili ya nyota na viumbe vyengine vilivyopo mbinguni', alimbaye ndiye aliyeongoza utafiti huo.

Kifaa cha Marsis hakikuweza kubaini upana wa maji hayo, lakini kundi hilo la watafiti linakadiria kuwa na upana usiopungua mita moja.

''Hii ina inathibitisha kuwepo kwa ziwa lenye maji , na sio maji yalioyeyuka yaliopo kati ya mwamba na barafu, kama ilivyo katika maeneo mengine ya barafu duniani'', aliongeza Profesa Orosei.

Gerald
geraldchristopher1@gmail.com
FB_IMG_1671651480410.jpg
View attachment 2453969
 
Haya mambo watakuja kuyaelewa vema vizazi vijavyo huko mamia kadhaa ya miaka.
Kwa sasa bado tunapapasa tu

Kabisa, huenda hata watu wanaokufa huku huenda huko kama hatua mbalimbali au kupanda madaraja.
 
NASA inaharibu sana dunia na tales zake,chunguza operation fishbowl na operation dominic,hakuna kitu kinaweza vuka firmanent au dome mambo ya space ni uwongo mtupu,yote hayo yalianzia operation highjump ya admiral byd inshort tupo ndani tumefunikwa na bakuli la kioo hakuna cha space wala sijui nini hayo ni ma adobe photoshop tu ujanja ujanja
 
Kile wanachoamini kuwa ziwa kiko katika eneo lenye barafu nyingi la kusini na lina ukubwa wa kilomita 20.

Utafiti wa awali ulipata ishara za maji yanayopita katika sakafu ya sayari hiyo, lakini hiyo ni ishara ya kwanza ya maji kuonekana katika sayari hiyo katika siku za hivi karibuni.

Maziwa yaliogunduliwa na Nasa yalionyesha kwamba maji yalikuwepo katika sakafu ya sayari hiyo katika siku za nyuma.

Hatahivyo, hali ya anga ya sayari hiyo ni baridi na hivyobasi kufanya maji yake kubadilika na kuganda.

Matokeo yake yanafurahisha kwa sababu wanasayansi wametafuta kwa muda mrefu ishara ya kuwepo kwa maji katika sayari ya Mars lakini hawakufanikiwa kupata ushahidi wowote.

Pia itawafurahisha wale wanaofanya utafiti wa kuwepo kwa uhai mbali na duniani-licha ya kwamba matokeo hayo hayajatoa ushahidi wowote wa kuwepo kwa viumbe.

Ugunduzi huo ulifanyika kwa kutumia kifaa chenye radar kilichokuwa ndani ya kituo cha anga cha Ulaya kwa jina Mars Express orbiter.

Ziwa hilo liko chini ya barafu kusini mwa eneo la barafu la Mars
"Pengine huenda sio ziwa kubwa sana , alisema Profesa Orosei kutoka taasisi ya maswala ya angani inayohusika na asili ya nyota na viumbe vyengine vilivyopo mbinguni', alimbaye ndiye aliyeongoza utafiti huo.

Kifaa cha Marsis hakikuweza kubaini upana wa maji hayo, lakini kundi hilo la watafiti linakadiria kuwa na upana usiopungua mita moja.

''Hii ina inathibitisha kuwepo kwa ziwa lenye maji , na sio maji yalioyeyuka yaliopo kati ya mwamba na barafu, kama ilivyo katika maeneo mengine ya barafu duniani'', aliongeza Profesa Orosei.

Gerald
geraldchristopher1@gmail.comView attachment 2453970View attachment 2453969
Tanzania hadi leo hatuna uhakika wa maji safi na salama
 
Ukiona kwenye movie mfano wanaonaje kinachoendelea chini live kwa muda huo jua kuna drone na camera ndo inamulika chini na kuintercept signals wirelesslsy kupitia long range towers NASA ni matapeli ,hii kitu inaitwa space science ni uwongo mtupu kuanzia solar system mpaka magalaxy all fake
 
NASA inaharibu sana dunia na tales zake,chunguza operation fishbowl na operation dominic,hakuna kitu kinaweza vuka firmanent au dome mambo ya space ni uwongo mtupu,yote hayo yalianzia operation highjump ya admiral byd inshort tupo ndani tumefunikwa na bakuli la kioo hakuna cha space wala sijui nini hayo ni ma adobe photoshop tu ujanja ujanja

Wana wadanganya watu gani?kwa faida gani?
 
Emu tupe madini mkuu... Quran inazungumzaje kuhusu mars
{It is Allâh Who has created seven heavens and of the earth the like thereof (i.e. seven). …}[65:12].

Allah alisema Earth ina sayari zingine zinafanana nayo..Kwa hii case maji kuwepo Mars,
Alllahhhuuuuuu AAAAKKkkbaaaarrr
 
Back
Top Bottom