Hivi ndivyo Roman Catholic ilivyo

Hivi ndivyo Roman Catholic ilivyo

Si bora angeingia kutuombea?? Wanakwambia mwaka ule 1844 Yesu alipotea njia kwa bahati mbaya akaingia patakatifu hekaluni...Tangu lini mbinguni kukawa na hekalu...?? Halafu jiulize Yesu anatuombea kwa nani angali Yeye ni Mungu..?

Wanakwambia aliingia huko eti kufanya hukumu ya upelelezi(Investigative Judgement)...Tangu lini Yesu anafanya upepelezi..?
Wasabato ni vichaa..

Mr. Mangi
Aah salale! Usimtukane mtu na imani yake jamani. ..
 
Ulikuwa hujui kuwa Wasabato ni Mafarisayo...?
Kabisa yaani majina hayo yalinisumbua kinoma na nikiuliza watu wangu wa karibu wananiambia ni dini za waisrael kipindi hicho..

I never knew kwa kweli..

Mkuu niongezee nyama kidogo kwa hiyo wasabato hawaliamini agano jipya na mafundisho ya Yesu?
 
Unatia huruma.yaani wikipedia ndio reliable source kwako? Sisi tunategemea Biblia na sio wikipedia.
Mkuu, hizo ni rejea mbalimbali...Ni ukweli usiopingika kuwa Wasabato ni moja ya cult zilizofanikiwa sana kujipenyeza....Kanisa la SDA huko Marekani ni kama limeshakufa.
 
Katika wafia dini wote wasabato ndo vi**yo wa kutupa.

Hawana kingine cha kuhubiri tofauti na Kanisa Catholic, vitabu vya Ufunuo na Daniel.

Kuna mwaka flani wakiwa kama 600 hivi waliandamana kwenda Airport ili waende ulaya bila ya kuwa na chochote kilichohitajika.
Hawa nao ni moja ya makundi ya vichaa kwenye jamii.
 
Dini ni ujinga,

Dini si Mungu, Mungu si Dini

Dini ni mawazo ya wanadamu juu ya Mungu

watu waelewe na wafahamu kuwa Dini ni kilimbilio la watu wajinga na wapumbavu, bali Mungu ni kimbilio na watu wenye Hekima, Busara na Maarifa

Heri ya mwaka mpya
Kwel ndugu
 
Hapa ndio wazungu alipotuweza kabisa eti tunaongelea dini na kuziponda eti hii iko hivi ile hivi mwisho wa siku hakuna faida yoyote.Wao wanaenda church wanacheza mziki wao na kurudi home bila kupondana madhehebu.
 
Uongo ni dhambi,na kila asemaye uongo ni wa ibilisi kwani yeye ndiye baba wa huo.
Mkuu, hiyo post ni kweli tupu...

Wasabato hawaamini ufufuko wa Yesu...Kitendo cha mama Ellena White(sorry, Bibi Ellena White) kusema kazi aliyoifanya Yesu pale msalabani ni bure, na kuwa ameenda patakatifu pa patakatifu(kufuru hii) kufanya hukumu ya upelelezi ni ishara Wasabato sio Wakristo ila ni Wapinga Kristo ....

Wasabato ni laana iliyoletwa duniani na Bibi Ellena White...

Wewe tangu lini dhehebu lianzishwe na mwanamkr aliyekuwa kichaa tena chini ya uangalizi wa madaktari wa magonjwa ya akili..??? Inasikitisha sana
 
Uongo ni dhambi,na kila asemaye uongo ni wa ibilisi kwani yeye ndiye baba wa huo.
Hivi mkuu kuna uongo zaidi ya ule wa Bibi yetu Ellen G White aliyesababisha mauaji makubwa ya watu wasio na hatia kwa kutabiri ujio wa Yesu mwaka 1844....???(Great Disappointment)
 
Tatizo lenu mnakaririshwa ujinga na hao mapadre wenu hata hamhoji kama huo uzushi una support yeyote ya Biblia.Eti source wikipedia! too pathetic!
Uzushi gani..?? Mbona ipo wazi kuwa Cult 4 za Kikristo mojawapo ni SDA...?? Yani unataka-support gani labda..???
 
Dini ni ujinga,

Dini si Mungu, Mungu si Dini

Dini ni mawazo ya wanadamu juu ya Mungu

watu waelewe na wafahamu kuwa Dini ni kilimbilio la watu wajinga na wapumbavu, bali Mungu ni kimbilio na watu wenye Hekima, Busara na Maarifa

Heri ya mwaka mpya
Umenena haswa, ukweli mtupu. Dini ni bangi kwa wanadamu, na ikishikwa vizuri zaidi ni ulevi zaidi hata ya pombe. Na vituko vyote vya sie wapiga ulabu, hufanywa pia na mlevi wa dini, hadi kuua.
 
We lazima ni msabato tu Roman Catholic Taifa kubwa, huwez kuja na hoja eti zilizoandikwa na magezeti sjui maneno ya watu acheni figisu hubirini neno la Mungu
mkuu kwani Wasabato huwa ndo wasemakweli!! je wanaijua vizuri siri ya Rumi?
 
Kabisa yaani majina hayo yalinisumbua kinoma na nikiuliza watu wangu wa karibu wananiambia ni dini za waisrael kipindi hicho..

I never knew kwa kweli..

Mkuu niongezee nyama kidogo kwa hiyo wasabato hawaliamini agano jipya na mafundisho ya Yesu?
Mkuu, Agano jipya linakamilika baada ya Yesu Kufufuka....Yani Ufufuko wa Yesu ndio mpango mzima wa Ukombozi...Bila ufufuko hakuna Ukristo...
Hata mitume kina Paulo waliandika habari za Yesu baada ya Yesu kufufuka....Walipata nguvu mpya baada ya ufufuko....Na kazi ya Ukombozi Yesu aliikamilisha pale Msalabani..

Sasa imagine, wasabato Wanadai Yesu hakumaliza Kazi ya ukombozi,maana yake Yesu Hakufufuka....Moja kwa moja hawa viumbe hawaamini Ufufuko wa Yesu(Sio Wakristo)...
Wanadai eti Yesu aliingia Pa takatifu pa patakatifu kufanya hukumu ya upelelezi....Yesu, anafanyaje tena hukumu ya upelelezi, ana mpeleleza nani..? Angali alishamaliza yote Msalabani....?

Ukiwauliza hizo ngonjera mmezitolea wapi, wayakwambia eti Bibi Ellena White alichukuliwa mbinguni akaoneshwa....Hivi ni vichekesho...Maana Ellen White alikuwa kichaa, alianguka akapigiza kichwa akiwa na umri wa miaka 12..., alikaa katika Coma kwa miaka 10. Hivyo msichana Ellen White hakupata Elimu kabisa maana alikuwa Hospitali muda wote...

Pia alikuwa chini ya uangalizi wa Madaktari wa magonjwa ya akili, na inasemekana alikuwa akiota ndoto za ajabu ajabu kutokana na disturbance ya ubongo aliyopata..

Imagine, ndio ameota ndoto za kuoelekwa mbinguni na kuoneshwa kitabu cha hukumu....Hivi mtu mwenye akili timamu unaweza amini huu upuuzi tena kwa mtu ambaye alikuwa kichaaa.....??

Kwa hiyo moja kwa moja SDA ni Wapinga Kristo...

Wakristo, (N:B Wasabato sio Wakristo) Bila ufufuko wa Yesu, hakuna Ukristo...Tunaitwa Wakristo kwasababu Yesu alishinda mauti akafufuka siku ya 3..... Hvyo kila Jumapili Wakristo wote tunaadhimisha pasaka ndogo, ndio siku aliyoifanya Bwana.....

Sasa ndugu zetu hawa hawaamini katika ufufuko wa Yesu, ndio maana hawasali Jumapili...Hawa ni Wapinga ufufuko, ni wapinga Kristo....
 
"Na ndani yake ilionekana damu ya watakatifu, na ya wale wote waliouawa juu ya nchi". Ufu 18:24.
Rejea pia usome Danieli 7:25 kisha Est 3:8-10 kisha_fuatana_nami
Ni nani huyo muuaji?
(Sikia alichopata kuchosema Baron Deponnat kiongozi mashuhuri wa Ufaransa)
Anasema :-
"Roman katoliki lilizaliwa katika damu likawekewa_ukuta wa damu lilituliza_kiu_yake kwa damu na ni kwa herufi za damu historia yake imeandikwa. Utendaji wao unakwenda bila kuacha mapigo ya mirindimo_ya_viapo vya damu!"

Sasa_hapa_utasema_limejengewaje_kwa_damu?
Mamlaka ya Papa imekuwa ikitekeleza mateso dhidi ya wale wanaopinga madai yake, kama haki iliyopewa na Mungu.
Papa Martin V(1417-1431 B.K) alitoa maelekezo yafuatayo kwa mfalme wa Poland kuhusiana na Wakristo wa kweli waliokuwa wafuasi wa John Huss.

Hakikisha_unawaangamiza_wafuasi_wote_wa_Huss. Kumbuka kuwa watu wenye kukufuru wanathubutu kanuni za uhuru; wanadai

Wakristo_wote_ni_ndugu....wanadai kwamba Kristo alikuja duniani kukomesha utumwa; wanawaita watu wawe huru...

Choma_ua_kwa_wingi,fanya mahali pawe jangwa,kwani hakuna jambo linalokubalika zaidi kwa Mungu/linalofaa zaidi lenye manufaa zaidi ktk wajibu wa wafalme,kama vile kuwaangamiza wafuasi wa Huss."(L.M.de Cormentin, The Public and Private History of Popes of Rome, Vol. III, uk.116-117.

JE_WAMEISHIA_HAPO_TU

"Mapapa pamoja na mawakala wa Kijesuiti, hadi sasa wamekuwa ndiyo wainjiniaji_wa_vita, na wakati ulimwengu ukiugulia maumivu ya kweli,
Roma_hushikilia_shampeni."
Maneno taliyotamkwa na Jeremia J. Crowley (Padri wa zamani wa Kikatoliki).
Romanism: A Manace to the Nation, Menace Publishing uk 144.
Haitoshi
Naye Edmond Paris ameandika hivi:-
"Mtu aweza kusema kwa uhakika kwamba mnamo mwaka 1914 kanisa la Roma lilianzisha_mfumo_wa_vita_vibaya.ilikuwa kwamba, utambulisho wa damu ambayo wakati wote amechukua kwa wanadamu ikaanza kuumuka na kuwa tufani ya kutisha." The Vatican Against Europe, The Wickliffe Press uk 48.

Hivyo_ndivyo_Roma_imetenda_inaenendelea_na_itaendelea kakini atavuna_tu_alichopanda Ufu 9:1-2.
Uliza_kama_hujaelewa_kisha_tutasaidiana
What's app no 0655446552.
Naumia sana,akili zenu sijui ziko maeneo gani ya miili yenu.Nimekua nikisisitiza kwamba amini uwepo wa Mungu lakini imani yako isijikite kwenye dini fulani ijikite kwenye uwepo wa Mungu.Nikaongeza kwa kuwatahadharisha kwamba dini ni ubunifu wa mwanadamu na vilevile dini hufanyiwa usajili kama taasisi nyingine yoyote inavyosajiliwa,mfano kampuni,vyama vya siasa n.k.Dini ili iweze kuwa kubwa inategemeana na wapiga debe ilionao mfano kwa Tz maeneo yote waliyopita waarabu ambao ndio waliujua uislamu ukiwa unaanzishwa walifanikiwa kuwashawishi wabongo wengi na jibu lake unaliona maeneo ya pwani wengi ni Waislam.Maeneo ya kaskazini na kusini mwa Tz huko walipitia wamissionari ambao huko babu zetu walipewa chumvi,nguo ,sukari nk ili waache dini yao ya kutambika na kujiunga na ukristu.Kwahiyo unavyoona ukristu umedominate duniani ni kutokana na wale walioanzisha walifanikiwa kuuza vizuri na kupata wateja.Hivyo mtu anayebabaishwa na dini hizi za kuletewa ni vizuri tukamwona ni limbukeni na mwendawazimu.Mfano mzee wa upako ana kanisa pale Dar,akipiga debe vzr anaweza kujitanua na kuteka dunia,halafu wale ambao hawakuwepo wakati mzee wa upako anaanzisha hii chaneli yake ya kujipigia hela watasema"Hili ndo thehebu la kweli la kikristu" na huenda wakapigana mpaka ngumi.Hivyo kumbe hoja ya msingi ni kutambua uwepo wa Mungu ,dini zitakupotosha kwa sababu sasa hivi kuna ile dini ya shetani na inakuja kasi sana .Utaratibu wao ni kwamba mkishamaliza misa kunakua na watu mlangoni wanagawa bahasha za khaki zimejaa pesa huku wakisema karibu tena.Hivyo basi kung'ang'ana kutukana Romani cathoric eti kwa sababu kidhehebu chako ni kidogo au dini yako ni dhaifu mbele ya Romani catholic ni kukosa hekima na busara.UJUMBE WANGU,kwa wale wasioamini uwepo wa Mungu ebu wajitazame kwenye vioo na wajaribu kutafakari ni nini kimewafanya wawe hivyo walivyo.
 
Mbona hili kwa wenye akili timamu , wanaoisoma biblia vzr lipo wazi katika UFUNUO SURA YA 13:JINSI ULIMWENGU MZIMA UTAKAVYOMSTAAJABIA MNYAMA WA AJABU:MNYAMA HUYO ANA ALAMA YA VICARIUS FILII DEI(666)
Methali 14:15 Mjinga uamini kila analoambiwa,Madhehebu yote ya kikristo yafanye yanavyofanya,yaseme yanavyoweza khs kanisa katoriki lkn mwisho wa yote kanisa ni kanisa na mkristo ni mkristo wote mpo chini ya Papa directly au indirectly ,huna sehemu ya kumkwepa Papa provided wewe ni mkristo unaeingia kanisani na janaba,viatu,hujashika udhu,unaingia kanisani na damu zako za hedhi na kushika kitabu cha injili,torati na zaburi,mwanamke unaingia ukiwa kichwa wazi,mabega wazi huku umevaa kimini,mwanamke unaingia huku bado unatoka damu ya nifasi,unaingia huku umelewa hata msabato yumo humu, tambua uko chini ya Papa
Hebu nisaidie Mama white na akina Miller na yule mwenzao walivyowatangazia watu mwisho wa dunia na haukutokea nini kilitokea na walipata wapi kujua uhakika wa cku yenyewe ni andiko gan liliwaongoza.
 
Wasabato na mauzauza yao. Yaani hata Papa akijamba tayari unabii umetimia. Wakati huo huo hata wenyewe historia yao kuanzia kwa mwanzilishi wao Miller na kuendelea mpaka kwa "nabii" wao mama Ellen G. White imejaa mauzauza tupu. Na wanaamini kabisa kuwa wao peke yao ndiyo watakwenda mbinguni kisa eti wanaabudu siku ya Jumamosi, hawali samaki wasio na magamba, wanyama wasio na kwato zilizogawanyika na wale wasiocheua
Biblia haijaandika siku ya jumamos ndio utaabud bal siku ya saba ndio utaabudu achana nao wasikuumize kichwa hao
 
Mkuu, Agano jipya linakamilika baada ya Yesu Kufufuka....Yani Ufufuko wa Yesu ndio mpango mzima wa Ukombozi...Bila ufufuko hakuna Ukristo...
Hata mitume kina Paulo waliandika habari za Yesu baada ya Yesu kufufuka....Walipata nguvu mpya baada ya ufufuko....Na kazi ya Ukombozi Yesu aliikamilisha pale Msalabani..

Sasa imagine, wasabato Wanadai Yesu hakumaliza Kazi ya ukombozi,maana yake Yesu Hakufufuka....Moja kwa moja hawa viumbe hawaamini Ufufuko wa Yesu(Sio Wakristo)...
Wanadai eti Yesu aliingia Pa takatifu pa patakatifu kufanya hukumu ya upelelezi....Yesu, anafanyaje tena hukumu ya upelelezi, ana mpeleleza nani..? Angali alishamaliza yote Msalabani....?

Ukiwauliza hizo ngonjera mmezitolea wapi, wayakwambia eti Bibi Ellena White alichukuliwa mbinguni akaoneshwa....Hivi ni vichekesho...Maana Ellen White alikuwa kichaa, alianguka akapigiza kichwa akiwa na umri wa miaka 12..., alikaa katika Coma kwa miaka 10. Hivyo msichana Ellen White hakupata Elimu kabisa maana alikuwa Hospitali muda wote...

Pia alikuwa chini ya uangalizi wa Madaktari wa magonjwa ya akili, na inasemekana alikuwa akiota ndoto za ajabu ajabu kutokana na disturbance ya ubongo aliyopata..

Imagine, ndio ameota ndoto za kuoelekwa mbinguni na kuoneshwa kitabu cha hukumu....Hivi mtu mwenye akili timamu unaweza amini huu upuuzi tena kwa mtu ambaye alikuwa kichaaa.....??

Kwa hiyo moja kwa moja SDA ni Wapinga Kristo...

Wakristo, (N:B Wasabato sio Wakristo) Bila ufufuko wa Yesu, hakuna Ukristo...Tunaitwa Wakristo kwasababu Yesu alishinda mauti akafufuka siku ya 3..... Hvyo kila Jumapili Wakristo wote tunaadhimisha pasaka ndogo, ndio siku aliyoifanya Bwana.....

Sasa ndugu zetu hawa hawaamini katika ufufuko wa Yesu, ndio maana hawasali Jumapili...Hawa ni Wapinga ufufuko, ni wapinga Kristo....
Duh duh nakushukuru sana mkuu nimeelewa sasa..
 
Mkuu, Agano jipya linakamilika baada ya Yesu Kufufuka....Yani Ufufuko wa Yesu ndio mpango mzima wa Ukombozi...Bila ufufuko hakuna Ukristo...
Hata mitume kina Paulo waliandika habari za Yesu baada ya Yesu kufufuka....Walipata nguvu mpya baada ya ufufuko....Na kazi ya Ukombozi Yesu aliikamilisha pale Msalabani..

Sasa imagine, wasabato Wanadai Yesu hakumaliza Kazi ya ukombozi,maana yake Yesu Hakufufuka....Moja kwa moja hawa viumbe hawaamini Ufufuko wa Yesu(Sio Wakristo)...
Wanadai eti Yesu aliingia Pa takatifu pa patakatifu kufanya hukumu ya upelelezi....Yesu, anafanyaje tena hukumu ya upelelezi, ana mpeleleza nani..? Angali alishamaliza yote Msalabani....?

Ukiwauliza hizo ngonjera mmezitolea wapi, wayakwambia eti Bibi Ellena White alichukuliwa mbinguni akaoneshwa....Hivi ni vichekesho...Maana Ellen White alikuwa kichaa, alianguka akapigiza kichwa akiwa na umri wa miaka 12..., alikaa katika Coma kwa miaka 10. Hivyo msichana Ellen White hakupata Elimu kabisa maana alikuwa Hospitali muda wote...

Pia alikuwa chini ya uangalizi wa Madaktari wa magonjwa ya akili, na inasemekana alikuwa akiota ndoto za ajabu ajabu kutokana na disturbance ya ubongo aliyopata..

Imagine, ndio ameota ndoto za kuoelekwa mbinguni na kuoneshwa kitabu cha hukumu....Hivi mtu mwenye akili timamu unaweza amini huu upuuzi tena kwa mtu ambaye alikuwa kichaaa.....??

Kwa hiyo moja kwa moja SDA ni Wapinga Kristo...

Wakristo, (N:B Wasabato sio Wakristo) Bila ufufuko wa Yesu, hakuna Ukristo...Tunaitwa Wakristo kwasababu Yesu alishinda mauti akafufuka siku ya 3..... Hvyo kila Jumapili Wakristo wote tunaadhimisha pasaka ndogo, ndio siku aliyoifanya Bwana.....

Sasa ndugu zetu hawa hawaamini katika ufufuko wa Yesu, ndio maana hawasali Jumapili...Hawa ni Wapinga ufufuko, ni wapinga Kristo....

Uko vizuri mkuu big up. SDA eschatology unaijua vizuri. Na watu kama wewe wanawaogopa kama ukoma. Hapa hawajaribu na wakija ni mauzauza tu! Ukweli they are not Christians!
 
Back
Top Bottom