Hivi ndivyo Rais Samia anavyoonekana kimataifa!

Hivi ndivyo Rais Samia anavyoonekana kimataifa!


View: https://youtu.be/hSOcdGnoGbA?si=xmD1lymIVF7bNlFU

“The first ever president to elect herself”

Sasa hivi sisi wala siyo banana republic tena!

Banana republics huwa walau zina matumaini flani flani endapo elements flani flani zitaondolewa.

Sisi tupo tupo tu. Si nchi wala taifa.

Ukimwangalia huyu mwanamke unajua kabisa sisi waTanzania tuna matatizo makubwa, kwanza hatuthamini maisha yetu, tunaishi tu. Huyu mama CV yake tu, na kwa vipi katoboa kuwa Makamu wa Rais, she failed in school, ammried at 17 yrs of age, as a third wife, to form a polygamous concubine. Leo anakua Rais wetu. Akina Mama Ntilie wangapi bora kuliko huyu?

Hata aibu hana, that is a big difference, mtu mwenye akili timamu hangesimama na kufanya haya mambo anyofanya. Hata hao akina JK na Rostam (enablers) hata aibu awana. Kumweka mpinzani wa maana ndani na kushangilia haya mambo
 
Kazi ya Balosi Dk Asha Rose Mtengeti Migiro ni ku rebrand negative imperial image ya Dada yake kimataifa.

Je pulling na speed hiyo anayo . Mi naona anayo na ni soft spoken tone. Masuala ya ufisadi ataweza kuyajibu
Mnaishi zama za mawe za kale mambo yamefanyika live kila mtu ameona Migiro ndo asafishe aya huwezi kundanganya technologia kwa sasa ni kubadilisha mbinu hizi mbinu zinazotomika ni miaka ya nyuma mno
 
Kwani yeye hana akili zake binafsi? Hana busara zake mpaka apotezwe na washauri?

Kwa nini mnapenda kuwaondolea uwajibikaji hao viongozi?
Tabia yake ilijionesha mapema tangu akiwa mwenyekiti mwenza/msaidizi, bunge la katiba. Sikumbuki kama wakati mzee Warioba akishambuliwa na kudhalilishwa na Bashite na wahuni wenzake ndiye aliyekuwa anaongoza kikao au ni Sitta. Ila kwa nafasi aliyokuwa nayo ungetarajia walau akemee, hakufanya hivyo.

TAL aliponusurika lile shambulio la risasi 16, alisema kuwa waliompiga risasi hawakuwa askari wa TANPOL, maana askari wa TANPOL wana shabaha, wakilenga hawakosi.

Wakati wa kampeni za urais 2020 alitamka kuwa hata kama wananchi wangepigia kura mgombea wa upinzani, angetangazwa mgombea wa CCM kuwa mshindi
Tabia ni kama pembe la ng’ombe, halifichiki
 
Back
Top Bottom