CHEZEA NGUVU YA UMMA HEBU TUKUTANE 1 SEPTEMBERView attachment 383498
hii attachment yako imekaa kichochezi zaidi!! Mara mnasema maandamano ya amani Mara mnatuwekea attachment za kututaka kupambana na serikali yetu au mmeamua kufanya mapinduzi?CHEZEA NGUVU YA UMMA HEBU TUKUTANE 1 SEPTEMBERView attachment 383498
ahahaha,pah pah ngumi mfulu mfuluh wamekaah(in chdi benz's voice)CHEZEA NGUVU YA UMMA HEBU TUKUTANE 1 SEPTEMBERView attachment 383498
unamanisha nini?ahahaha
CHADEMA ingekuwa chama cha UMMA ningeshiriki maandamano bila kuogopa
Lkn sasa CHADEMA ni chama cha hovyo hovyo kabisa
Wanatuhitaji kwenye maandamano tu
Wakipata nafasi wanateuana wao kwa wao
Tukipaaza sauti zetu wanatupuuza
Nikagundua kuwa kazi ya mwana CHADEMA Kyela kumbe ni kuandamana tu,hasikiliziwi
Maandamano ya CHADEMA Sept 1 YAPUUZWE
Hiyo licha ilikuwa Wakati wa uchaguzi Kenya!hii attachment yako imekaa kichochezi zaidi!! Mara mnasema maandamano ya amani Mara mnatuwekea attachment za kututaka kupambana na serikali yetu au mmeamua kufanya mapinduzi?
CHADEMA ingekuwa chama cha UMMA ningeshiriki maandamano bila kuogopa
Lkn sasa CHADEMA ni chama cha hovyo hovyo kabisa
Wanatuhitaji kwenye maandamano tu
Wakipata nafasi wanateuana wao kwa wao
Tukipaaza sauti zetu wanatupuuza
Nikagundua kuwa kazi ya mwana CHADEMA Kyela kumbe ni kuandamana tu,hasikiliziwi
Maandamano ya CHADEMA Sept 1 YAPUUZWE
Ingawa mimi ni mlinzi wa Amani ila haya mambo ya kugombana na raia siyapendi kabisa tunaomba pande husika zifanye mazungumzo ili amani itawaleCHEZEA NGUVU YA UMMA HEBU TUKUTANE 1 SEPTEMBERView attachment 383498
CHEZEA NGUVU YA UMMA HEBU TUKUTANE 1 SEPTEMBERView attachment 383498