Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,897
- 11,292
Wanao nijua Kyela watashangaa sana kuniita mm gambaGamba we
Nilikuwa na kesi mbili kwa ajili ya CHADEMA
Nikalipa faini kutoka ktk akiba yangu
Lkn hiyo siyo iliyonikasirisha
Bali kumbe kazi za chama tufanye sisi
Then wapo wanao teuliwa
Tukilalamika wanatupuuza