Hivi ndivyo operation ukuta itakavyokuwa

Hivi ndivyo operation ukuta itakavyokuwa

Kwa sasa CHADEMA sio tena ya wananchi walalahoi!Sisi walalahoi sasa hatusikiizwi tena
Wenye maamuzi juu ya CHADEMA sasa ni watu wasio zidi hata wa nne
chadema ina maelfuelfu nyuma yake isipokuwa tu wewe fisadi gamba
 
chadema ina maelfuelfu nyuma yake isipokuwa tu wewe fisadi gamba
Kura yangu ni muhimu sana muitunze,kumbuka mwaka 2010 kule Shinyanga mgombea wa CHADEMA RIP Magadula Shilembi aliangushwa kwa tofauti ya kura 1!!Kwenye uchaguzi unao amriwa na popular votes usidharau kura moja 1

CHADEMA ikirudi kwenye misingi yake ya kutetea wanyonge na kupinga ufisadi nitarudi tena!
 
Kura yangu ni muhimu sana muitunze,kumbuka mwaka 2010 kule Shinyanga mgombea wa CHADEMA RIP Magadula Shilembi aliangushwa kwa tofauti ya kura 1!!Kwenye uchaguzi unao amriwa na popular votes usidharau kura moja 1

CHADEMA ikirudi kwenye misingi yake ya kutetea wanyonge na kupinga ufisadi nitarudi tena!
CHADEMA bado iko kwenye misingi yake sema tu wewe macho yaliingia mchanga baada ya vumbi la uchaguzi mkuu 2015.ukiondoka we 1 wataingia 100
 
CHADEMA bado iko kwenye misingi yake sema tu wewe macho yaliingia mchanga baada ya vumbi la uchaguzi mkuu 2015.ukiondoka we 1 wataingia 100
Njoo Kyela tafadhali
ukuta wenu hautafanyika Kyela
Sababu sasa CHADEMA sio chama cha wanyonge
Wanyonge sisi hatusikilizwi tena ndani ya CHADEMA
Labda mtaandamana nyie wa Kaskazini
 
hiyo september mosi sijui jamaa atapita njia gani kuhamia dom mana njiani kutakuwa na UKUTA
 
CHADEMA ingekuwa chama cha UMMA ningeshiriki maandamano bila kuogopa
Lkn sasa CHADEMA ni chama cha hovyo hovyo kabisa
Wanatuhitaji kwenye maandamano tu
Wakipata nafasi wanateuana wao kwa wao
Tukipaaza sauti zetu wanatupuuza
Nikagundua kuwa kazi ya mwana CHADEMA Kyela kumbe ni kuandamana tu,hasikiliziwi
Maandamano ya CHADEMA Sept 1 YAPUUZWE
UMMA ni nini na Hovyo hovyo ni nini?
 
Ukweli unabaki pale pale. Mwenye shughuli yake ya maana ya kufanya hawezi kwenda kuandamana, tena Alhamisi mchana. Wale wenye ajira zao makini, hao out. Watu makini waliojiajiri na wanataka wasimamie vizuri uwekezaji wao ili warudishe chao, hao nao out. Wanabaki wabangaizaji wa mjini tu.
hata 1978 sio wote walienda kupambana na Idd amin wengine walibaki maofisini wakifanya kazi zao kama kawaida,sasa usifanye mjumuisho wako kuwa fulani na fulani hawata enda,kuna aina nyingi ya kusupport sio lazima uwe frontline hata kipindi cha mkoloni kuna watanzania kama wewe waliona upuuzi kupambana na mwingereza aliekuwa na jeshi
 
UMMA ni nini na Hovyo hovyo ni nini?
Chama kinacho sikiliza watu wake hata wa chini kama sisi,kufanya hivyo chama kinakuwa cha UMMA
Chama kinacho jiamulia mambo yake kwa manufaa ya kikundi cha watu wachache kinakuwa chama cha hovyo hovyo
 
mkuu nipo kundi moja na wewe
Please usiandamane Sept 1
Mbowe nina uhakika August 30 yy na familia yake wataenda Dubai
Wewe ndiyo uandamane uwekwe mahabusu kisha familia yako ihangaike kukutoa
Kukitulia ndiyo anarudi na familia yake
 
Please usiandamane Sept 1
Mbowe nina uhakika August 30 yy na familia yake wataenda Dubai
Wewe ndiyo uandamane uwekwe mahabusu kisha familia yako ihangaike kukutoa
Kukitulia ndiyo anarudi na familia yake
niandamane ili iweja? kwa maslahi ya nani?
 
Mm sio gamba
Mm ni mwanamapinduzi niliyejotolea sana CHADEMA
Lkn sasa chama changu kipo kwa ajili ya watu wachache sana

Na kwa jinsi unavyomuandama Mbowe lazima wewe ni yule makamu wa bavicha uliyefukuzwa kwa usaliti ukakimbilia kwa wafadhili wako huko lumumba na ukazawadiwa ubunge wa vitu maalum.
 
Back
Top Bottom