Hivi ndivyo operation ukuta itakavyokuwa

Hivi ndivyo operation ukuta itakavyokuwa

Na kwa jinsi unavyomuandama Mbowe lazima wewe ni yule makamu wa bavicha uliyefukuzwa kwa usaliti ukakimbilia kwa wafadhili wako huko lumumba na ukazawadiwa ubunge wa vitu maalum.
Hapana mm nipo Kyela
Mwenyekiti wa zamani wa Tawi la CHADEMA Ipyana
Sijawahi kuwa kiongozi wa kitaifa
 
Hadi nilishtakiwa kwa ajili ya CHADEMA kikolo
Michakato yote ya kupata wabunge na viti maalum na madiwani kwa mfano
2010 na 2015 wananchi tulipuuzwa
Kyela mdada ambaye HATA HAKUGOMBEA akatuliwa kuwa diwani
Mdada hakushiriki kwa aina yyt ile uchaguzi
Aliyeshinda Tamali Mwambalaswa akaachwa
Jamani tuna mengi ya kusema,tunakaa kimywa kunusuru chama chao

mkuu sema yote tu! tutakuelewa ni bora haya mambo kuyaweka wazi manake hata mm sifurahii kusupport chama ambacho misingi ya uteuzi ina walakini
 
mkuu sema yote tu! tutakuelewa ni bora haya mambo kuyaweka wazi manake hata mm sifurahii kusupport chama ambacho misingi ya uteuzi ina walakini
CHADEMA ya Mbowe USIIAMINI kabisa
Tena muwe makini sana maana August 30 Mbowe na familia yake likely akatorokea Dubai
Akawaachia nyie matatizo
Kweli kauli za Rais zina kinzana na demokrasia
Lkn CHADEMA wao ndiyo wana demokrasia?
 
CHADEMA ya Mbowe USIIAMINI kabisa
Tena muwe makini sana maana August 30 Mbowe na familia yake likely akatorokea Dubai
Akawaachia nyie matatizo
Kweli kauli za Rais zina kinzana na demokrasia
Lkn CHADEMA wao ndiyo wana demokrasia?

Kama wewe unaona Chadema siku hizi haifai si uondoke tu uende CCM? Wewe ni gamba tu hata ujifiche vipi, endelea kufaidi mafao ya vitu maalumu huko ugambani.
 
Fikiri kidogo. Kwani kutokuwepo kwa Demokrasia Chadema (kami ni hiyo) ndio kunaweza kuhalalisha mpingano wa kauli wa mtu yeyote achia mbali Rais?

CHADEMA ya Mbowe USIIAMINI kabisa
Tena muwe makini sana maana August 30 Mbowe na familia yake likely akatorokea Dubai
Akawaachia nyie matatizo
Kweli kauli za Rais zina kinzana na demokrasia
Lkn CHADEMA wao ndiyo wana demokrasia?
 
CHADEMA ya Mbowe USIIAMINI kabisa
Tena muwe makini sana maana August 30 Mbowe na familia yake likely akatorokea Dubai
Akawaachia nyie matatizo
Kweli kauli za Rais zina kinzana na demokrasia
Lkn CHADEMA wao ndiyo wana demokrasia?
It is very likely mkuu,
Watu wana mijengo huko mbele, halafu wanatuhadaa sisi ambao kwa namna moja au nyingine mambo yakiharibika hatuna pakukimbilia.
 
Wanao nijua Kyela watashangaa sana kuniita mm gamba
Nilikuwa na kesi mbili kwa ajili ya CHADEMA
Nikalipa faini kutoka ktk akiba yangu
Lkn hiyo siyo iliyonikasirisha
Bali kumbe kazi za chama tufanye sisi
Then wapo wanao teuliwa
Tukilalamika wanatupuuza
andika udhi .....
 
Ukweli unabaki pale pale. Mwenye shughuli yake ya maana ya kufanya hawezi kwenda kuandamana, tena Alhamisi mchana. Wale wenye ajira zao makini, hao out. Watu makini waliojiajiri na wanataka wasimamie vizuri uwekezaji wao ili warudishe chao, hao nao out. Wanabaki wabangaizaji wa mjini tu.
Na ndio walio wengi hapa nchini ....
 
It is very likely mkuu,
Watu wana mijengo huko mbele, halafu wanatuhadaa sisi ambao kwa namna moja au nyingine mambo yakiharibika hatuna pakukimbilia.
Upo sahihi
Puuza maandamano haya
Kaa home na familia yako
 
Fikiri kidogo. Kwani kutokuwepo kwa Demokrasia Chadema (kami ni hiyo) ndio kunaweza kuhalalisha mpingano wa kauli wa mtu yeyote achia mbali Rais?
My points ni kuwa wanachama wa kawaida ni CHADEMA kazi yetu ni kuandamana tu
Kama sisikilizwi why niandamane?
 
Kama wewe unaona Chadema siku hizi haifai si uondoke tu uende CCM? Wewe ni gamba tu hata ujifiche vipi, endelea kufaidi mafao ya vitu maalumu huko ugambani.
CCM na CHADEMA ni kama mapacha nowdays
Sitaenda ktk vyama hivyo
Nipo kama independent na ndiyo maana nipo huru kusema
 
Siku watu wakiiba hadi ikulu ndo utakumbuka chadema ni chama cha namna gani, kwa sasa bado macho yamefumba kama alivyo mtoto aliyeko tumboni
Hivi operation UKUTA sasa ndiyo imekuja kwa mtindo wa NO REFORM NO ELECTION?
 
Back
Top Bottom