siasa chafu azitusaidi kitu jitathimini ndugu
Wakuu heshima mbele,
Kwa upande wangu hivi ndivyo ninavyomfahamu Mtafuta Urais wa JMT Mzee Edward Ngoyai Lowassa a.k.a mzee Mamvi mbunge wa Monduli mkoa wa Arusha
1) . Namfahamu Lowasa akiwa nyuma yangu chuo kikuu NI TAPELI NA MSANII BY PROFESSION
2 . Namfahamu Lowasa akiwa mkurugenzi AICC Arusha aliyechota hela za WB za ujenzi wa AICC estates hususani mabarabara ya estate ya KIJENGE
3 . Namfahamu Lowasa wa Boyz - 2 -Men ambao walikataliwa na marehemu JKN kwa sababu nzuri tu kuwa hawakui wanajilimbikizia mali kwa kutumia nafasi zao za uongozi . Au tuseme wanatumia vibaya nafasi zao za uongozi kwa madhilaya nchi na wananchi.
4 Namfahamu Lowasa wa Richmond na Dowans
5 . Namfahamu Lowasa ambaye hakukutana na JK barabarani
6 . Namfahamu Lowasa anaehongo viongozi wa dini mbali mbali na boda boda ili uaupate urais
7 . Namfahamu Lowasa anaecheza faulo za uchaguzi Monduli ili mradi CCM ionekane inashinda na vyombo vya dola vinamlinda kwenye kufanya hayo
8 . Namfahamu Lowasa mwenye ukwasi wa kutisha ( aliotuibia kama nchi ) ambao umefanikisha kuwanunua wajumbe corrupt wa CC na wa mkutano mkuu ili wampitishe kwenye kugombea urais .
9 . Namfahamu Lowasa mgonjwa ambae yuko tayari suala la urais limtoe roho
10 . Namfahamu Lowasa ambaye CCM nzima inamgwaya wanshindwa kumuwajibisha
11) Alijimilikisha shamba la Bwn Miller Kijenge
Mwanama, akaweka PPF complex.
12).Akachukua Jumuiya Tour akaform
Leopards Tours.
13).Akatuingiza mkenge wa RICHIMOND,
DOWANS, HADI SYIMBION mpaka leo tunalia
na charge za TANESCO!!
14) Akahamisha fedha kununua majumba
matatu London kwa mpigo, Fred
akakamatwa huko ikaonekana fedha ni za
familia ya Lowasa!!
15).Anamiliki hisa za kibabe AirTel, Voda etc
kupitia CO ya Alphatel!!
16). Ni mtu hatari muulize S Kubenea ya
tindikali, mbunge Nasari karibu auwawe kule makuyuni kwa amri ya Eddo.
Wewe unamfahamu vipi Eddo..?
NB: wewe team lumumba buku saba mnaojadili watu na kubariki maovu ya mafisadi kana kwamba wote sisi hatuoni. Nakushauri anza na hatua ya kwanza uwe mkweli ndani ya nafsi yako halafu uwe na mtazamo huru .
UKWELI UTAKUWEKA HURU . Achana na kuwatetea wapuuzi mafisadi kumbuka tunaaswa " YARABI NAFSI YANGU" .Unaisaliti nafsi yako kwa shirki na waovu?
.............
Hapo kwenye namba 1 sijakuelewa vizuri Kilaza......umesema umemfahamu akiwa nyuma yako? je ni nyuma gani hiyo? fafanua vizuri isije ikawa tumekula hasara na kwako mkuu.
Hahahahaa!!!Naona zile propaganda zenu za kuwa EL atafukuzwa uanachama zimewaumbua!!Mmekuja na single nyingine eti!!Mi Lowassa ninayemfahamu ni mfugaji wa ng'ombe hayo mengine unajua ww mwenyewe!!
Anyway, kapokee ujira wako unaokufanya utumike kama ndala za msalani!!
Wakuu heshima mbele,
Kwa upande wangu hivi ndivyo ninavyomfahamu Mtafuta Urais wa JMT Mzee Edward Ngoyai Lowassa a.k.a mzee Mamvi mbunge wa Monduli mkoa wa Arusha
1) . Namfahamu Lowasa akiwa nyuma yangu chuo kikuu NI TAPELI NA MSANII BY PROFESSION
2 . Namfahamu Lowasa akiwa mkurugenzi AICC Arusha aliyechota hela za WB za ujenzi wa AICC estates hususani mabarabara ya estate ya KIJENGE
3 . Namfahamu Lowasa wa Boyz - 2 -Men ambao walikataliwa na marehemu JKN kwa sababu nzuri tu kuwa hawakui wanajilimbikizia mali kwa kutumia nafasi zao za uongozi . Au tuseme wanatumia vibaya nafasi zao za uongozi kwa madhilaya nchi na wananchi.
4 Namfahamu Lowasa wa Richmond na Dowans
5 . Namfahamu Lowasa ambaye hakukutana na JK barabarani
6 . Namfahamu Lowasa anaehongo viongozi wa dini mbali mbali na boda boda ili uaupate urais
7 . Namfahamu Lowasa anaecheza faulo za uchaguzi Monduli ili mradi CCM ionekane inashinda na vyombo vya dola vinamlinda kwenye kufanya hayo
8 . Namfahamu Lowasa mwenye ukwasi wa kutisha ( aliotuibia kama nchi ) ambao umefanikisha kuwanunua wajumbe corrupt wa CC na wa mkutano mkuu ili wampitishe kwenye kugombea urais .
9 . Namfahamu Lowasa mgonjwa ambae yuko tayari suala la urais limtoe roho
10 . Namfahamu Lowasa ambaye CCM nzima inamgwaya wanshindwa kumuwajibisha
11) Alijimilikisha shamba la Bwn Miller Kijenge
Mwanama, akaweka PPF complex.
12).Akachukua Jumuiya Tour akaform
Leopards Tours.
13).Akatuingiza mkenge wa RICHIMOND,
DOWANS, HADI SYIMBION mpaka leo tunalia
na charge za TANESCO!!
14) Akahamisha fedha kununua majumba
matatu London kwa mpigo, Fred
akakamatwa huko ikaonekana fedha ni za
familia ya Lowasa!!
15).Anamiliki hisa za kibabe AirTel, Voda etc
kupitia CO ya Alphatel!!
16). Ni mtu hatari muulize S Kubenea ya
tindikali, mbunge Nasari karibu auwawe kule makuyuni kwa amri ya Eddo.
Wewe unamfahamu vipi Eddo..?
NB: wewe team lumumba buku saba mnaojadili watu na kubariki maovu ya mafisadi kana kwamba wote sisi hatuoni. Nakushauri anza na hatua ya kwanza uwe mkweli ndani ya nafsi yako halafu uwe na mtazamo huru .
UKWELI UTAKUWEKA HURU . Achana na kuwatetea wapuuzi mafisadi kumbuka tunaaswa " YARABI NAFSI YANGU" .Unaisaliti nafsi yako kwa shirki na waovu?
.............
mkuu unazo akili timamu
Based on what you wrote, if true, then CCM in general should not be in power. This tells something about the current leadership. If you add the Escrow saga on top of it, do we really expect another member of CCM to bring changes?? The answer is NO. Biashara ha kulindana imezidi. Watu wamelewa madaraka and think they are invincible.Wakuu heshima mbele,
Kwa upande wangu hivi ndivyo ninavyomfahamu Mtafuta Urais wa JMT Mzee Edward Ngoyai Lowassa a.k.a mzee Mamvi mbunge wa Monduli mkoa wa Arusha
1) . Namfahamu Lowasa akiwa nyuma yangu chuo kikuu NI TAPELI NA MSANII BY PROFESSION
2 . Namfahamu Lowasa akiwa mkurugenzi AICC Arusha aliyechota hela za WB za ujenzi wa AICC estates hususani mabarabara ya estate ya KIJENGE
3 . Namfahamu Lowasa wa Boyz - 2 -Men ambao walikataliwa na marehemu JKN kwa sababu nzuri tu kuwa hawakui wanajilimbikizia mali kwa kutumia nafasi zao za uongozi . Au tuseme wanatumia vibaya nafasi zao za uongozi kwa madhilaya nchi na wananchi.
4 Namfahamu Lowasa wa Richmond na Dowans
5 . Namfahamu Lowasa ambaye hakukutana na JK barabarani
6 . Namfahamu Lowasa anaehongo viongozi wa dini mbali mbali na boda boda ili uaupate urais
7 . Namfahamu Lowasa anaecheza faulo za uchaguzi Monduli ili mradi CCM ionekane inashinda na vyombo vya dola vinamlinda kwenye kufanya hayo
8 . Namfahamu Lowasa mwenye ukwasi wa kutisha ( aliotuibia kama nchi ) ambao umefanikisha kuwanunua wajumbe corrupt wa CC na wa mkutano mkuu ili wampitishe kwenye kugombea urais .
9 . Namfahamu Lowasa mgonjwa ambae yuko tayari suala la urais limtoe roho
10 . Namfahamu Lowasa ambaye CCM nzima inamgwaya wanshindwa kumuwajibisha
11) Alijimilikisha shamba la Bwn Miller Kijenge
Mwanama, akaweka PPF complex.
12).Akachukua Jumuiya Tour akaform
Leopards Tours.
13).Akatuingiza mkenge wa RICHIMOND,
DOWANS, HADI SYIMBION mpaka leo tunalia
na charge za TANESCO!!
14) Akahamisha fedha kununua majumba
matatu London kwa mpigo, Fred
akakamatwa huko ikaonekana fedha ni za
familia ya Lowasa!!
15).Anamiliki hisa za kibabe AirTel, Voda etc
kupitia CO ya Alphatel!!
16). Ni mtu hatari muulize S Kubenea ya
tindikali, mbunge Nasari karibu auwawe kule makuyuni kwa amri ya Eddo.
Wewe unamfahamu vipi Eddo..?
NB: wewe team lumumba buku saba mnaojadili watu na kubariki maovu ya mafisadi kana kwamba wote sisi hatuoni. Nakushauri anza na hatua ya kwanza uwe mkweli ndani ya nafsi yako halafu uwe na mtazamo huru .
UKWELI UTAKUWEKA HURU . Achana na kuwatetea wapuuzi mafisadi kumbuka tunaaswa " YARABI NAFSI YANGU" .Unaisaliti nafsi yako kwa shirki na waovu?
.............
SISI WANYONGE AMBAO MISHAHARA YETU YA MALIMBIKIZO HATUJALIPWA ZAIDI YA MIAKA MINNE IMEPITA HADI LEO HATUJALIPWA TEGEMEO LETU NI LOWASA TU NDIYE MWENYE UWEZO WA KUWABANA WAKURUGENZI.NJE YA C.C.M NI DR. SLAA TU. NI WAWILI TU AMBAO NDIYO TEGEMEO LETU.YAKALE YAMEPITA.Huyo Membe Mchague Akawe Rais Kwenye Ukoo Wenu. Sisi Tunaye Rais Wetu Tayari.
Lowasa is completely useless candidate, sielewi wanaompigia debe wameahidiwa nini.
haha mbona unatoka povu hivyo umekunywa OMO ..!!! tuwekee mazuri yake hapa