Hebu kati yenu anitajie kiongozi mmoja wa CCM ambae ni msafi
Nasikia lowasa akiwa Rais na rostam Aziz atakuwa wazili mkuu
Na alex massawe atakuwa waziri wa mambo ya ndani kadhalika papaa msoffe waziri wa fedha.
Too much scratching on the surface.Ielezee vizuri hiyo namba moja maana uliyaona ulipokuwa naye chuoni.Wakuu heshima mbele,
Kwa upande wangu hivi ndivyo ninavyomfahamu Mtafuta Urais wa JMT Mzee Edward Ngoyai Lowassa a.k.a mzee Mamvi mbunge wa Monduli mkoa wa Arusha
1) . Namfahamu Lowasa akiwa nyuma yangu chuo kikuu NI TAPELI NA MSANII BY PROFESSION
1. Alijimilikisha shamba la Bwn Miller Kijenge Mwanama, akaweka PPF complex.
2.Akachukua Jumuiya Tour akaform Leopards Tours.
Moral corruption!Ww nan tuseme na ya kwako... Huna jpya kwahyo unafahamu mabaya tu.. Kwa hali hyo haumfahamu wananchi wanamjua hata kuliko ww kawaulize jimbon kwako..., halafu cyo wote wanajua lumumba mm mwananchi wa kawaida lakin nakuona umejitoa akili hutaki kusema mazur yake.. Fool
Lowasa is completely useless candidate, sielewi wanaompigia debe wameahidiwa nini.
Mkuu acha uwongo, Kijenge Mwanama kuna complex ya PPF? Au PPF Estate?
Mbona sio ya Lowassa ile? Humu kuna nyumba na zinamilikiwa na Raia tofauti tofauti? Hebu nieleweshe hapa!
Pili,
Leopard Tours ni mali Halali ya Zuher Fazal, na Mdogo wake Gulam .H. Fazal,
Hawa ni watanzania wenye asili ya kiasia, Kama wewe ni Mkazi wa Arusha utakuwa unafahamu wapi Leopard Tours imetoka. Hakuna mkono wa Lowassa pale. Ila ninachosikia huwa wana urafiki na Lowassa, ila sio wa kibiashara.
Mkuu Mtumishi Wetu wewe ni mtumishi wa wapi unasema uongo hivi? Muogope Mungu!
pole,huna point
Lowasa ni chaguo la Mungu
Fedha za kununua majumba London ametoa wapi?atajali biashara zake kuliko kutumikia umma hatumtaki.