Antonio de Guzman
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 7,944
- 15,709
Ebu nioneSifa zote ninazo
Ebu nioneSifa zote ninazo
Hongera kwa kuwa mwalimu wa upuuziMimi nina aina yangu ya kumtathmini mwanamke, najua wapo wanaume wengi wenye mtazamo kama wangu, mimi kitu cha kwanza nachoangalia kwa mwanamke ni mkia. Hivyo basi mwanamke wemye mkia nampa maksi za juu sana na ana nafasi kubwa sana kwangu ya hata kupata ofa tu yangu kuliko asie na mkia. Mwanamke mwenye mkia kwangu tayari ana A.
Pili, maziwa, mwanamke mwenye maziwa ya wastani nampa makis ya juu sana kuliko mwenye maziwa makubwa.
Tatu, mwanamama mwenye tumbo flat nampa maksi nyingi kuliko mwanamke mwenye tumbo kubwa kama vile ana mimba, wanaume wenzangu mnajua raha ya mwanamke mwenye flat belly.
Nne, ya mwisho kabisa ni kimo, mwanamke mrefu kwangu ana maksi nyingi kuliko mwanamke mfupi, mimi short chasis sizitaki, hata mwanamke awe mzuri kiasi gani wa sura kama ni short chasis hata ofa ya soda tu hapati.
kwa kujumuisha.
1. Mwanamke mwenye mkia alama A (bila kujali akam ni mfupi au mrefu, akishakua na mkia tu moja kwa moja namfanya anakua mrefu.)
2. Maziwa ya wastani au madogo alama B plain.
3. Tumbo flat alama B plasi.
4. Mrefu alama B plasi.
Kama mwanake hafall kwenye hizo kategori ajue kabisa kwangu ana alama F kubwa. Mambo ya akili kichwani sijui shule yanakuja baadae maana mwa mwanamke sifaidi shule yake nafaidi umbile lake.
Naomba ieleweke kua haya ni maoni yangu binafsi na sina nia ya kumkashfu mtu.
hahaha wee jamaa ni kwere..Mimi kwangu ni TAKO mkuu yaani hata kama awe na sura kama rais wa sasa wa Sudan kusini sijali na potelea mbali ila awe na TAKO mkuu. Niliwahi kuongozana na mwana mama mmoja simfahamu toka Tegeta hadi Ferry kisa tuu alikuwa ana TAKO mkuu,kama nakosea mniwie radhi.....Shikamoo akina mama wote wenye TAKO....
Huyo alieacha mkia nje hafall kwenye kategori zangu maana anaonekana ana tumbo kubwa alafu ni mfupi. hawa nawapa F kubwa mkuu.Na hawa jee??? Unawapa maksi ngapi.
View attachment 371198
Hongera mama kwa kupata A+, hii ni international scorecard, ukipata A+ hapa ujue kokote ukienda duniani maksi ni hizo hizo.Mi Nina A plus hapa
Asante sana mkuuHongera mama kwa kupata A+, hii ni international scorecard, ukipata A+ hapa ujue kokote ukienda duniani maksi ni hizo hizo.
Mkuu wapo wa vigezo hivyo na pia ni wife materialsKwa vigezo hivyo nina uhakika unaangalia mtu wa kutumia mda wenu pamoja kama girlfriend wa kupunguzia uji, one night stand, friends with no strings attached lakini sio mke wa maisha yako.
Ukitaka vigezo vya kupata mke, njoo kaka zako tutakupa tips kidogo.
UsikaririHivi hiyo Tz ya viwanda mitambo itaendeshwa na akina nanii?! Dooooh
Tupia hata kaupaja basi tuhakikisheMi Nina A plus hapa
Ctaki kumwaga mchele penye kuku wengiTupia hata kaupaja basi tuhakikishe
Maana utaliwa bure [emoji1]Ctaki kumwaga mchele penye kuku wengi
Ni pm namba zakoEbu nione