Hivi ndivyo ninavyogawa maksi kwa mwanamke

Hivi ndivyo ninavyogawa maksi kwa mwanamke

Mimi kwangu ni TAKO mkuu yaani hata kama awe na sura kama rais wa sasa wa Sudan kusini sijali na potelea mbali ila awe na TAKO mkuu. Niliwahi kuongozana na mwana mama mmoja simfahamu toka Tegeta hadi Ferry kisa tuu alikuwa ana TAKO mkuu,kama nakosea mniwie radhi.....Shikamoo akina mama wote wenye TAKO....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
nampenda ke mwenye vigezo tajwa hapo chini
1)mabanda ya uwani yale laini yaliyobinuka kwa juu 80%
2)miguu kama chupa ya bakady/bia mirefu lain 10%.miguu chelewa huwa hatushei the same table
3)muonekano/face daah iwe mzuri sn niweze kubang kila kona za dunia ya mungu.
4)tumbo flat na kitovu kidogo kilichozama kwa ndani.
 
Back
Top Bottom