Hivi ndivyo ninavyogawa maksi kwa mwanamke

Hivi ndivyo ninavyogawa maksi kwa mwanamke

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,151
Reaction score
20,076
Mimi nina aina yangu ya kumtathmini mwanamke, najua wapo wanaume wengi wenye mtazamo kama wangu, mimi kitu cha kwanza nachoangalia kwa mwanamke ni mkia. Hivyo basi mwanamke wemye mkia nampa maksi za juu sana na ana nafasi kubwa sana kwangu ya hata kupata ofa tu yangu kuliko asie na mkia. Mwanamke mwenye mkia kwangu tayari ana A.

Pili, maziwa, mwanamke mwenye maziwa ya wastani nampa makis ya juu sana kuliko mwenye maziwa makubwa.

Tatu, mwanamama mwenye tumbo flat nampa maksi nyingi kuliko mwanamke mwenye tumbo kubwa kama vile ana mimba, wanaume wenzangu mnajua raha ya mwanamke mwenye flat belly.

Nne, ya mwisho kabisa ni kimo, mwanamke mrefu kwangu ana maksi nyingi kuliko mwanamke mfupi, mimi short chasis sizitaki, hata mwanamke awe mzuri kiasi gani wa sura kama ni short chasis hata ofa ya soda tu hapati.

kwa kujumuisha.

1. Mwanamke mwenye mkia alama A (bila kujali akam ni mfupi au mrefu, akishakua na mkia tu moja kwa moja namfanya anakua mrefu.)
2. Maziwa ya wastani au madogo alama B plain.
3. Tumbo flat alama B plasi.
4. Mrefu alama B plasi.

Kama mwanake hafall kwenye hizo kategori ajue kabisa kwangu ana alama F kubwa. Mambo ya akili kichwani sijui shule yanakuja baadae maana mwa mwanamke sifaidi shule yake nafaidi umbile lake.

Naomba ieleweke kua haya ni maoni yangu binafsi na sina nia ya kumkashfu mtu.
 
Mimi kwangu ni TAKO mkuu yaani hata kama awe na sura kama rais wa sasa wa Sudan kusini sijali na potelea mbali ila awe na TAKO mkuu. Niliwahi kuongozana na mwana mama mmoja simfahamu toka Tegeta hadi Ferry kisa tuu alikuwa ana TAKO mkuu,kama nakosea mniwie radhi.....Shikamoo akina mama wote wenye TAKO....
 
Duuuh! Mkuu wewe ni hatari. Mm nimeanza kuwaza mambo ya Maksi za Chuo.
1.Assignment (5marks)
2.Presentation (5Marks)
3.Tests (30 Marks)
4.Final Exam (60marks)

Inaonekana Mkia kwako unachukua maksi za Final Exams maarufu kama UE. Nyonyo aka Maziwa yanachukua maksi za tests.
 
hivi tutakaa turushe chombo mwezini kama mawazo yetu ndio haya?
Yeah tutarusha tu usiwe na hofu hata hao waliokwisha rusha sio kwamba mda wote wanajadili mambo ya msingi, kuna gunduzi nyingine hutokea kwenye mawazo ambayo wewe ungesema mtu anawaza pumba.
Inaonekana kwa ugawaji wa maksi wa mkuu ungepata daraja F
 
Kwa kweli mimi mkia na rangi White huwa vinyweleo vya mwili vinasimama kabisa napo kutana na type hii
 
Mimi mwanamke akishakua kama mke wangu tu, baaasi kwisha habari yangu. Sitaki kutaja mke wangu yukoje wasije wakajitokeza wanaofanana fanana naye wakaniweka majaribuni, kwasababu mwanamke akishafanana na mke wangu hata kwa jina tu nahisi kumpenda.
 
Mimi kwangu ni TAKO mkuu yaani hata kama awe na sura kama rais wa sasa wa Sudan kusini sijali na potelea mbali ila awe na TAKO mkuu. Niliwahi kuongozana na mwana mama mmoja simfahamu toka Tegeta hadi Ferry kisa tuu alikuwa ana TAKO mkuu,kama nakosea mniwie radhi.....Shikamoo akina mama wote wenye TAKO....
Teh Teh Teh Teh ugonjwa wangu huooooo sheikh wangu
 
Mimi mwanamke akishakua kama mke wangu tu, baaasi kwisha habari yangu. Sitaki kutaja mke wangu yukoje wasije wakajitokeza wanaofanana fanana naye wakaniweka majaribuni, kwasababu mwanamke akishafanana na mke wangu hata kwa jina tu nahisi kumpenda.
kumbe unanipenda Sana Baba watoto wangu..asanteee
 
Mimi nina aina yangu ya kumtathmini mwanamke, najua wapo wanaume wengi wenye mtazamo kama wangu, mimi kitu cha kwanza nachoangalia kwa mwanamke ni mkia. Hivyo basi mwanamke wemye mkia nampa maksi za juu sana na ana nafasi kubwa sana kwangu ya hata kupata ofa tu yangu kuliko asie na mkia. Mwanamke mwenye mkia kwangu tayari ana A.

Pili, maziwa, mwanamke mwenye maziwa ya wastani nampa makis ya juu sana kuliko mwenye maziwa makubwa.

Tatu, mwanamama mwenye tumbo flat nampa maksi nyingi kuliko mwanamke mwenye tumbo kubwa kama vile ana mimba, wanaume wenzangu mnajua raha ya mwanamke mwenye flat belly.

Nne, ya mwisho kabisa ni kimo, mwanamke mrefu kwangu ana maksi nyingi kuliko mwanamke mfupi, mimi short chasis sizitaki, hata mwanamke awe mzuri kiasi gani wa sura kama ni short chasis hata ofa ya soda tu hapati.

kwa kujumuisha.

1. Mwanamke mwenye mkia alama A (bila kujali akam ni mfupi au mrefu, akishakua na mkia tu moja kwa moja namfanya anakua mrefu.)
2. Maziwa ya wastani au madogo alama B plain.
3. Tumbo flat alama B plasi.
4. Mrefu alama B plasi.

Kama mwanake hafall kwenye hizo kategori ajue kabisa kwangu ana alama F kubwa. Mambo ya akili kichwani sijui shule yanakuja baadae maana mwa mwanamke sifaidi shule yake nafaidi umbile lake.

Naomba ieleweke kua haya ni maoni yangu binafsi na sina nia ya kumkashfu mtu.

VITU 10 NINAVYO ANGALIA KWA MWANAMKE

1. INTELLEGENCY: mwanamke mwenye akili namweshimu kuliko maelezo achana na kumpenda unconditionally( akili siyo lazima awe amesoma sana).
2. MENO: mwanamke mwenye meno makubwa ya mbele huwa nampenda sana.
3. NYWELE: Awe na nywele original na ndefu, siyo ile mikia ya farasi.
4.UREFU:Awe na urefu kwanzia 170cm.
5. NYONYO:Mwenye matt ya wastani yasiwe makubwa sana wala kidogo kama ndimu.
6. MIGUU awe na miguu mirefu isiyo minene sana au isiwe vimilonjo, iwe wastani.
7. TAKO: Awe na tako la wastani lisiwe kubwa ila limake curve avaapo nguo.
8. RATIO: Awe na hips kubwa kuliko kiuno chake.
9. TUMBO: Awe na tumbo flati au kubwa kidogo, lisionekane kwa nje.
10. MCHESHI: Huwa napenda mtu mcheshi sana, siyo muda wote anakuwa na uso kama rambo iliyolowanishwa kwa na maji
 
Mimi mwanamke akishakua kama mke wangu tu, baaasi kwisha habari yangu. Sitaki kutaja mke wangu yukoje wasije wakajitokeza wanaofanana fanana naye wakaniweka majaribuni, kwasababu mwanamke akishafanana na mke wangu hata kwa jina tu nahisi kumpenda.
Njoo ninong'oneze
 
Back
Top Bottom