Hivi ndivyo kodi zenu zinavyotumika: William Malecela anatalii na gari ya DC Muro

Kuna Watu ni Wapumbavu / Mapopoma chini ya hili Jua hadi mnakera kama siyo kuudhi kabisa. Kwahiyo Gari la Dereva wa Marekani likiwa pamoja na Bendera yake likiwa limembeba Mmarekani ambaye pia ni Rafiki wa karibu wa huyo Balozi ( bila kujali ni mwana Democrat / Republican ) ndiyo matumizi mabaya ya Kodi za Wamarekani?
Hapa umejibu nini wewe Popoma??, Gari ya serikali haiwezi kutumika kipuuzi hivyo kama unavyofikiria
 
Nina imani teuzi nyingi za maDC, maDas hata wakurugenzi wa awamu hii ya viwanda hawakupekuliwa. Haiwezekani kiongozi aliyepekuliwa akaruhusu gari ya ofisi yake kufanywa hivyo
 
Alafu anapenda sana kuwaita wenzie Mburala..wakati yeye ni mburala na moja..
Alafu inasemekana ni Usalama wa taifa..usalama gani zero brain
 
Nina imani teuzi nyingi za maDC, maDas hata wakurugenzi wa awamu hii ya viwanda hawakupekuliwa. Haiwezekani kiongozi aliyepekuliwa akaruhusu gari ya ofisi yake kufanywa hivyo
 
Mwenye akili hatelekezi watoto wake Marekani na kukimbia ili kukwepa majukumu yake.
BAK, nilichojifunza kwenye haya maisha, ni kusikiliza pande zote Mbili.

Sitetei kuwakimbia watoto wake, ninachoomba ni kusikiliza upande wake na wa mwanamke.

Nilishawahi kushuhudia baba akitaka kulishwa sumu na mke wake, ukimuuliza mwanamke anakuambia mume alikimbia, ukimuuliza baba anakuambia ni story ndefu.

Mbaya zaidi watoto wakiside na mama yao kwa issue kama hiyo, hutawahi kumuona baba.
 
Umeandika point kubwa sana Mkuu lakini watoto wako ni watoto wako tu hata kama mna ugomvi na Mama yao lakini huwezi kuwatelekeza kimoja. Sijui sasa hivi uwezo wake kifedha ukoje lakini kuwarushia hata kidogo alichonacho ingekuwa jambo la maana sana.

BAK, nilichojifunza kwenye haya maisha, ni kusikiliza pande zote Mbili.

Sitetei kuwakimbia watoto wake, ninachoomba ni kusikiliza upande wake na wa mwanamke.

Nilishawahi kushuhudia baba akitaka kulishwa sumu na mke wake, ukimuuliza mwanamke anakuambia mume alikimbia, ukimuuliza baba anakuambia ni story ndefu.

Mbaya zaidi watoto wakiside na mama yao kwa issue kama hiyo, hutawahi kumuona baba.
 
Umeandika point kubwa sana Mkuu lakini watoto wako ni watoto wako tu hata kama mna ugomvi na Mama yao lakini huwezi kuwatelekeza kimoja. Sijui sasa hivi uwezo wake kifedha ukoje lakini kuwarushia hata kidogo alichonacho ingekuwa jambo la maana sana.
Bro, nakuelewa na unachosema ni kweli. Labda niseme tu kwamba baba ni baba siku zote, ila Kama Mtoto amelishwa tango pori na mama yake, haki ya nani, hata uwe karibu vipi, hutaweza kuwa karibu na Mtoto. Ndiyo Yale Yale ya Diamond na baba yake, japo kesi ni tofauti kidogo.

Lakini unachosema ni sawa kabisa.
 
Siwezi kukijuwa na wala sitaki kukijuwa kwa maana kwetu sisi hakina maana familia nzima hakuna mtu aliyeajiliwa wote tumejiajili wewe unayesubiri ajira au upo umeajiriwa na serikali endelea kukitafakari hicho ki calculator mimi niache nile zangu bata tu
Inamana hulipi kodi wewe si ndio?...umejiajiri unapata kipato hadi cha kulia bata lakini kikokotoo cha TRA hujawahi kumbana nacho kweli au ndo kujitoa ufahamu?
 
Inamana hulipi kodi wewe si ndio?...umejiajiri unapata kipato hadi cha kulia bata lakini kikokotoo cha TRA hujawahi kumbana nacho kweli au ndo kujitoa ufahamu?
Babu mimi kodi hainiumizi kichwa maana ni wajibu wangu kuilipa
 
Kuna Watu ni Wapumbavu / Mapopoma chini ya hili Jua hadi mnakera kama siyo kuudhi kabisa. Kwahiyo Gari la Dereva wa Marekani likiwa pamoja na Bendera yake likiwa limembeba Mmarekani ambaye pia ni Rafiki wa karibu wa huyo Balozi ( bila kujali ni mwana Democrat / Republican ) ndidyo matumizi mabaya ya Kodi za Wamarekani?
 
Back
Top Bottom