Hivi ndivyo Jenerali Qasem Soleimani alivyouawa na Marekani

Status
Not open for further replies.
Teh! Vita ni kuviziana na kummaliza adui popote pale. Na sio uzuri mpaka awe kwenye fighting mode. Vita sio mchezo wa masumbwi kijana.
Ninachojua kwa sasa US na Iran hawako vitani, bali uhusiano wao uko kwa kiwango cha chini kabisa karibia na kile cha mwaka 1979!! Hakuna vita, kilichofanywa na US ni 'ugaidi'! Amesema Nazar Waziri wa mambo ya nje wa Iran na hii yaweza kuwa kwrli.
 
K

Iran kutumia mamluki wake kurusha maroketi dhidi ya kambi za Marekani na pia kushambulia balozi pale Baghdad ni kitendo cha kutangaza vita tayari!
Taratibu za kutangaza vita baina ya nchi haziko hivyo. Labda kama zimeletwa mpya! Vita siyo jambo dogo, Mkuu.
 
Hiyo njia ya vichaka wakati jenerali kauwawa highway?!

Wabongo mshaongezea caption kwenye picha
 
Hali ni tete
habari-51013628.png
habari-51013628.png
 
Mmarekani hana rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu.

Walishirikiana kuwabomoa ISIS ila sasa mmarekani kaamua kumterminate
Unatakiwa kufahamu Gen soleman hakuwa akijificha au akiogopa kuwa marekani watamuuwa au usidhani aliingia Iraq kwa siri, Tazama hii pic alipiga na vikosi vya marekani mwaka 2015 wakati akiongoza operesheni ya kuwatoa ISIS HAO pembeni ni wanajeshi wa marekani, kwahiyo jamaa hakuwa akijificha View attachment 1314019

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba kuuliza
Hivi urusi na malekani Nan bora

kelphin kepph
Urusi ilishakufaga tangu kuvunjika kwa iliyokuwa inaitwa USSR, Fuatilia historia mkuu.

Hii Urusi unayoiona sasa hivi ni mabaki tu ya hiyo Urusi og ambayo ilisambaratika miaka mingi iliyopita.

Usidanganyike kwa sasa mataifa yenye nguvu duniani ni Marekani na China tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom