myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 143,740
- 640,926
Ni ya 17!!.......najua kuna maswali zaidi kuhusu IsraelIsrael ni ya ngap?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ya 17!!.......najua kuna maswali zaidi kuhusu IsraelIsrael ni ya ngap?
Sawa kweli kwamba Yamamoto ndiye alimaliza nguvu za Japan kipindi hicho na wala si mabomu ya nyulia yaliyoangushwa Hiroshima na Nagasaki? Basi muda uwe mwamuzi wetu tuone kama kuondoka kwa Soleiman (R.I.P) kama ndiyo kutamaliza nguvu za Iran.Yamamoto ndo alikuwa roho ya Japan kwenye WW2 , wamarekani walifanya kitu kimoja tuu nacho ni kumtungua jamaa, tena walimuulia kwenye eneo lililokuwa linamilikiwa na Japan , Yamamoto alipokufa Japan iliyumba vibaya kwenye millitary planning na ikachezea kichapo heavy all around the Pacific..
Hapa Tatizo Kubwa Nikwamba Tunakua BRAINWASHED na MEDIA na Isitoshe MEDIA Zote Kubwa Ulimwenguni Zinamilikiw Na Wamagharibikwanini unafikiri dini ya kiislamu,imekuwa soft target kujivika,kwanini wasijipambanue katika adhima yao halisi au nyingine ila kupigania uislamu!!!!
silaha ni biashara ndio,vipi kuhusu wapiganaji wanamgambo wanalipwa nini!!maana tunaona wengine wanazaliwa wakiwa na ndoto kabisa ya kwenda kujiunga na wenzao huko.
leo hii genaral wa ki iran,anauwawa kwa tuhuma za kushirikiana na magaidi wanaoisumbua marekani,ipi wakati yenyewe ni sponsor wao?
Bro Umepanic Tu Halafu Wewe Ndio Umejibu Kama Wa Lasaba B Kwan Jamaa Hapo Kailinganisha US na IRAN Wapi....?!,Ushabiki maandazi ni mbaya sana. Hivi kwa akili ya la saba B tu unaweza kweli kulinganisha Marekani na Iran???!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Urusi ilishakufaga tangu kuvunjika kwa iliyokuwa inaitwa USSR, Fuatilia historia mkuu.
Hii Urusi unayoiona sasa hivi ni mabaki tu ya hiyo Urusi og ambayo ilisambaratika miaka mingi iliyopita.
Usidanganyike kwa sasa mataifa yenye nguvu duniani ni Marekani na China tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapili baada ya RAIS Mtu Mzima Vibaya Kuitwa Muongo Ila Wewe Muongo (Jamaa Alikua wapili kwaushawishi baada ya Ayatollah)We jamaa vip, Us iwe muoga?? Uwe muoga ukamuue mkuu wa majeshi wa adui yako tena karbu na nchi yake , thousands miles away Kutoka kwako?? Kwa taarifa yako huyo Mkuu wa majeshi ndo wa pili Kwa ukubwa Irani baada ya Raisi, huyo jamaa ndo alikuwa roho ya nchi ya Irani...
Hzo zingine ni mbinu tu za kumpata target Kwa urahisi na kumpiga , alaf inajulikana popote duniani Mkuu wa majeshi akipigwa na nchi imepigwa , ni heri afe Raisi na sio mkuu wa majeshi .....
Hata kama kutakuwa na actual combat , game field itakuwa kwenye nchi ya Iran , Kwa sasa Iran ipo pinned down pande zote , waliopo upande wa Marekani ni Weng na wenye nguvu kuliko waliopo upande wa Iran ambao ni wazee wa kubwabwaja Tu bila vitendo akina Kim , Putin na xing.....
Moja ya magenius waliowahi kutokea katika millitary warfare kwenye ulimwengu huu ni Mjapan aliyeitwa Isoroku Yamamoto alisema , "Unaweza kupambana na Us Kwa miez sita au mwaka Mmoja , lakn Zaid ya hapo lazima upigwe ", rate ya uzalishaji ya armament ya Us ni kubwa Zaid , viwanda vyote vilivyopo Marekani vimetengemezwa katika mazingira ya kwamba ikitokea vita vyote ndani ya sekunde vinageuka kuzalisha vifaa vinavyoendana na mahitaji ya kivita ...... Yaani hata wakipoteza askar 100k Leo kesho wanakuja wengine 100k wenye uwezo Sawa na waliotoweka Jana ...
Yamamoto ndo alikuwa roho ya Japan kwenye WW2 , wamarekani walifanya kitu kimoja tuu nacho ni kumtungua jamaa, tena walimuulia kwenye eneo lililokuwa linamilikiwa na Japan , Yamamoto alipokufa Japan iliyumba vibaya kwenye millitary planning na ikachezea kichapo heavy all around the Pacific....jamaa huwa wanatafuta mtu mhimu kwenye jeshi na wakishamchapa huyo mambo kwisha
Kwanza UISLAM na WAISLAM Walishajipambanua Yakwamba Wao Hawausiki Na UGAIDI Ila Kuna Mataifa Ambayo Yanalazmisha UISLAM Uonekane Ni UGAIDI Nandio Maana Mpaka leo hii Hata Wewe Binafsi Huelewi Tafasiri Halisi Ya UGAIDI
UISLAMU ULIISHAJIPAMBANUA WAPI,KWAMBA HAUHUSIKI NA UGAIDI??
pili Hakuna Mtu Anaezaliwa Nandoto Yakuja Kua Fulani Ila Hutamani Kuja Kua Fulani Baada Ya Kuona Ama Kusikia Tukio Fulani Ama Kufundishwa Mambo Fulani Juu Ya Jambo Fulani
HAPA UMEELEWA NILIKUWA NAMAANISHA NINI ILA UNAJRIBU KUREFUSHA STORY.
Tatu Kuuliwa Kwa Gen Wa IRAN na Kuhusishwa Na UGAIDI Ni Mambo Yachuki Za US tu Namataifa Yawatu Wakati Ripoti Tele Zinatoka Kwamba US Wana Fadhili Ama Wameunda Makundi Ya Kigaidi Mpaka Hillary Clinton Alokua Anahombania Urais US Alikiri HiliHapa Tatizo Kubwa Nikwamba Tunakua BRAINWASHED na MEDIA na Isitoshe MEDIA Zote Kubwa Ulimwenguni Zinamilikiw Na Wamagharibi
HAPA UNAONYESHA NI JINSI GANI NI VIGUMU KUMTENGA MUISLAM NA JIHAD,HATA IWE YA KIPUUZI NAMNA GANI,UNAKATAA UISLAMU KUJIHUSISHA NA UGAIDI,LAKINI UKISIKIA MUISLAM KAUWAWA KWA UGAIDI UNAMTETEA KWA NGUVU ZOTE.WEWE MUISLAM.
Wamagharibi wakisimama kuiaminisha DUNIA Yakwamba Wewe Ni GAIDI Watafanikiwa Kwa zaidi Ya 100% Maana Wana Uwezo Wana nguvu Wanachokifanya Wao Nikutafuta Tu SABABU....
NDIO MAANA NIKAULIZA KWANINI SABABU HIYO IWE DINI,WENYE DINI YENU MLIZUBAA WAPI MPAKA IKAWA HIVYO!!!,MBONA USHOGA TUMEUKATAA WOTE NA IMEWEZEKANA!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Dodge awe baba ako ,male bee kawafanya vibaya na uislamu uchafu wenu(ugaidi),....bwana wenu wa mipango amekwishaNa ile drone ya US iliyoshushwa pale Iran ilikua ni Drone(Shoga) sio?
dodge
Hahah daah aisee nimecheka kichizi,sasa hapo ulichopaniki ni nini?Dodge awe baba ako ,male bee kawafanya vibaya na uislamu uchafu wenu(ugaidi),....bwana wenu wa mipango amekwisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah jamaa umekuwa kituko sana,inaonyesha jinsi gani hiki kifo kilivyokuchanganya kabisa. Vipi Iran alipotungua drone ya Marekani nani alitangaza Vita?Mbinu ya kivita wakati hujatangaza vita ...!? Taratibu mkuu.
Yaani hawa watu wamevurugwa kabisa na hiki kifo mpaka inafikia wanaleta comedyUSA ndio washamuua huyo kamanda, na kudhihirisha 'uoga' wao wamemwambia Iran ajaribu kulipa kisasi aone watamfanya nini. Tunasubiri walipe kisasi ili tuone uoga wa USA.
Teh teh maneno ya kujifariji hayaOgopa sana mtu anayebeba kisasi moyoni.
USA wanajichimbia kaburi lao wao na viazi vyao kila kukicha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kisasi kitawasaidia nini hawa....Wakilipa kisasi itapendeza, ifike mahali tuache kudharauliana
Watakuchapa kupitia simu yako ya mkononi ya smart phone, jamaa wapo mbali sana kitechnologia tuache masihala....