Unadhani kazi ya Wizara husika ni kuuza Sura.., Unaongelea Kodi - Kodi ndio inatengeneza Megawatts ? Kwamba ukilipa Kodi mvua zintanyesha au wataacha kutokuwajibika (Sababu Kodi tulishalipa ndio maana hio miundombinu iliyopo sasa hivi Ipo (Au unadhani Tanesco wana Mashine ya Token yaani ukiweja Shilingi Umeme unatokea)?Mgao hautakaa uishe na hujawahi kuisha mpaka hapo mtakapolipa Kodi ya kutosha.
Ili zifanye nini ? kwahio alivyoingia yeye ndio matatizo yakaanza ? Ni jambo moja kutokuwajibika na kuwa wazembe; ila kuleta majibu yasiyo na tija; That is Insulting our Intelligence....Makamba alishawaambia bila til.4 huko Tanesco hakuna siku mgao utaishia
Kama mvua ndio inaleta umeme kakinge maji uwashe kwako shida Iko wapi?Unadhani kazi ya Wizara husika ni kuuza Sura.., Unaongelea Kodi - Kodi ndio inatengeneza Megawatts ? Kwamba ukilipa Kodi mvua zintanyesha au wataacha kutokuwajibika (Sababu Kodi tulishalipa ndio maana hio miundombinu iliyopo sasa hivi Ipo (Au unadhani Tanesco wana Mashine ya Token yaani ukiweja Shilingi Umeme unatokea)?
Ili zifanye nini ? kwahio alivyoingia yeye ndio matatizo yakaanza ? Ni jambo moja kutokuwajibika na kuwa wazembe; ila kuleta majibu yasiyo na tija; That is Insulting our Intelligence....
Huo sio Mwingi Mkuu; Wenger unaweza kusema mpira ni Burudani kwahio hata ambavyo hawakuchukua Kombe lakini waliburudisha..., By the way Kipindi cha Wenger wangapi walichukua Kombe ? Huwezi ukasema Wenger Hakushinda....Kila mtu na tafsiri yake...unaweza kupiga mwingi lakin usishinde...si unaikumbuka arsenal ya wenger?..kupiga mwing hapa ni matumizi makubwa sio matokeo
Unaonyesha vipi upeo wako ulivyo sawa na urefu wa pua yako...; Kwahio unataka kila mtu azalisha umeme wake ? Hio ni Efficiency ?Kama mvua ndio inaleta umeme kakinge maji uwashe kwako shida Iko wapi?