GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,571
- 108,922
Mwenyezi Mungu ni kila Kitu hapa Ulimwenguni na hili halina ' Ubishi ' labda tu uwe ni ' Popoma ' ndiyo utaleta Ligi ( Utabisha ) ila mpaka leo hii najiuliza ni kwanini katika Uumbaji wake uliojaa ' Ubunifu ' wake wa Kutukuka kabisa hili jambo lifuatalo hakuliweka ndani ya Mwanadamu na hasa hasa kwa Wanaume?
Ewe Mwenyezi Mungu ni kwanini hukutupa Sisi Wanaume au hukutuwekea Kifaa ' Maalum ' mwilini mwetu ili tuwe tunaweza Kutambua kwa haraka sana kama Mwanamke unayemtongoza ni Malaya au Mke wa Mtu au ameshachimbiwa au ana Kisonono au Kaswende au Dally Kimoko / UKIMWI?
Mwenyezi Mungu leo hii Mimi Mwanao Mpendwa GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE nakuuliza haya yote kwakuwa kama kuna Jinsia ambayo kwa sasa inateseka na kuumia mno hapa duniani kwa adha / maudhi yatokanayo na hawa Wanawake basi ni Sisi Wanaume kwani tunadanganywa sana huku tukifanywa ' Mazuzu ' mno ila kama ungekumbuka kutuwekea Sisi Wanaume hicho Kifaa ' Maalum ' cha Utambuzi na nini kilichomo ama Moyoni au Ubongoni mwa Wanawake hawa basi ungekuwa umetusaidia na tungekushukuru zaidi.
Hivi Mwenyezi Mungu unaona sasa raha gani Sisi Wanaume pale tunapotongoza hawa Wanawake kisha ' Wanatudanganya ' kuwa wako ' Single ' na tunaenda ' Kujiachia ' huko walikopanga ( Majumbani mwao ) halafu baadae upo ( Uchi wa Mnyama ) au ( na Suti ya Adam ) kabisa Mpenzi wake anakuja tena kwa ' ambush ' la aina yake na kisha tunakimbia Kuokoa maisha yetu ya kuziacha Boksa na Chenji Chenji zetu za Nauli kisha tunaishia kutembea kwa Miguu ' Boda kwa Boda ' kurudi tunakoishi tukiwa pia na ' Manundu ' ya Vipigo?
Ni kwamba ulisahau au umefanya tu makusudi labda ukiwa una lako jambo Mwenyezi Mungu?
Nawasilisha.
Ewe Mwenyezi Mungu ni kwanini hukutupa Sisi Wanaume au hukutuwekea Kifaa ' Maalum ' mwilini mwetu ili tuwe tunaweza Kutambua kwa haraka sana kama Mwanamke unayemtongoza ni Malaya au Mke wa Mtu au ameshachimbiwa au ana Kisonono au Kaswende au Dally Kimoko / UKIMWI?
Mwenyezi Mungu leo hii Mimi Mwanao Mpendwa GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE nakuuliza haya yote kwakuwa kama kuna Jinsia ambayo kwa sasa inateseka na kuumia mno hapa duniani kwa adha / maudhi yatokanayo na hawa Wanawake basi ni Sisi Wanaume kwani tunadanganywa sana huku tukifanywa ' Mazuzu ' mno ila kama ungekumbuka kutuwekea Sisi Wanaume hicho Kifaa ' Maalum ' cha Utambuzi na nini kilichomo ama Moyoni au Ubongoni mwa Wanawake hawa basi ungekuwa umetusaidia na tungekushukuru zaidi.
Hivi Mwenyezi Mungu unaona sasa raha gani Sisi Wanaume pale tunapotongoza hawa Wanawake kisha ' Wanatudanganya ' kuwa wako ' Single ' na tunaenda ' Kujiachia ' huko walikopanga ( Majumbani mwao ) halafu baadae upo ( Uchi wa Mnyama ) au ( na Suti ya Adam ) kabisa Mpenzi wake anakuja tena kwa ' ambush ' la aina yake na kisha tunakimbia Kuokoa maisha yetu ya kuziacha Boksa na Chenji Chenji zetu za Nauli kisha tunaishia kutembea kwa Miguu ' Boda kwa Boda ' kurudi tunakoishi tukiwa pia na ' Manundu ' ya Vipigo?
Ni kwamba ulisahau au umefanya tu makusudi labda ukiwa una lako jambo Mwenyezi Mungu?
Nawasilisha.