Hivi Mwanza nalo Jiji?

nafikiri nia yako n kujua nani huyo DP
huyo ni mimi mbona....
mbona sioni point zako
 
Mkuu si unajua msukuma anvyojigamba? kama hivi"NENE TAJILI MAMI NAZO GUNILA MBIRI ZA MICHEMBE NA MSIKERI MBILI LAFIGI,NENE NAHILAGA GETE GETE NKOI.
 
Utalijuaje kuwa ni jiji wakati daktari wako umemwacha Arusha
 
display picture
Oooh asante kwa kunifumbua macho,maana nimeishia darasa la pili shule ya kata,kwa hiyo ulifikiri nataka kuhakikisha?hapana umenielewa vibaya tena mbali kabisa,mimi nilipoona aavatar sijui DP?,NILIJUA KABISA WEWE NI GABACHOLI,NA ULIPOANZA KUITETEA Mwanza,nikajua aaaah enh,huyu atakuwa ukoo wa wale waliotuwekea lile sanamu la samaki anarusha maji,kumbe nimepatia,halafu sura yako sio ngeni sababu nilikuona Mwanza.
 
vigezo vya mji kuwa jiji ni kuwa na Maduka ya Nakumat?? ushamba uache wwe
 
hiv ni chungu cha ngap?
manake unachanganyikiwa na eid ujaila.
unaijua mwanza wewe? au unaisikia? maniokor
 
Kwa upeo huu hata IELTS usiaangaike kufanya! wewe ni wa NECTA tu!
 
mm nna asili ya kimanga
ila baba mzanak wa musoma
mm sinasifia popote ila hii mada ni mada ya kijinga..
 
nafikiri nia yako n kujua nani huyo DP
huyo ni mimi mbona....
mbona sioni point zako

nafikiri nia yako n kujua nani huyo DP
huyo ni mimi mbona....
mbona sioni point zako
Ahaaa,sasa nimeanza kupata picha,wewe ni msugusu(msukuma chapa ya ngombe),nafikiri utakua mtoto wa Chenyenge,maana kuna wasukuma weupe kuliko Wahindi bhana,tena huolewa kwa ngombe nyingi saana,kama siyo basi mtoto wa Busigasolwe,maana hao familia zao wana uzao wa vyeupe dawa,duh samahani nilijikwaa.
 

hatuwezi chagua wahuni wa pande hizo...mtu gani anajiharishia jukwaani, mimeno imewaoza mpaka basi...kapige mswaki kwanza alafu urudi jukwaani umetakasika shwain
 
za wapi ambazo sio za chupi na kununua? funguka twende
Zile zilizotokana na Vyuo vilivyachwa na Mkoloni,na ambavyo viliendeshwa na serekali tu,kama wakati wa kina Mzee wetu John Pombe Magufuli,na viongozi wote kuanzia aawamu ya nne kurudi nyuma,namaanisha vingozi wa serekali waliokuwa na nyadhifa kubwa kubwa tu,sio samaki aina ya furu.
 
JF inaraha sana...
 

wewe umerogwa unatuletea idea za mwaka 40...za akina edo walioshiba zege mdomoni we vipi
 

Nakumati???? tupa kule huo uchafu, habari ya mjini ni TSN kwa sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…