THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 1,730
- 3,290
Nianze kwa kusema OLE OUT! Wanangu wa MAN-U na Leo tunakufa tena.
Turudi kwenye Topic.
Wakuu hapo nyuma nilikua na Mpenzi Dadek Pisi kali ya kwenda ila ilikua inapenda Pesa sana hela za Shopping ilikua kila week mara kusuka na ukweli alikua hakuna mda hajapendeza hadi Rafiki zangu walikua wana muita Mturuki.
Ila bhna Ndio hivo TUKAACHANA NAE kama ilivyoandikwa MTAACHANA TU.
Mwanaume sikuvunga nikaopoa Pisi Nyingine ya Ki-Chagga Oya PISI Kaliiii mi kwenye Maswala ya kuchukua wanawake wakali Najikubali Sana sijawahi Kuyumba.
Sa nilichotegemea kwa uzuri ilionao lazima ningekua natoboka sana ila cha ajabu Pisi mwaka wa Pili saivi Hela haombi ombi kama ile nyingine yani hapa Kijuba mpaka najishitukia mwenyewe natuma tu.
Kuna day nikamtumia Hela kidogo hivi akaniambia Hela yote hii ya nini nikamwambia utafanyia Mambo yako akasema Asante..
Lakini akaongezea Pleaz naomba usinipe Hela kama Sijakuomba...Muhuni nikabaki Enheeeeee!!
But what daily kinachonichanganya nikua Uroda Napewa Tena Naitiwa kabisa.
Sa najiuliza inakuaje Hapendi Hela na ha ombi ombi kama yule mwingine au kama wanawake Wengine niwajuavyo mimi?
Turudi kwenye Topic.
Wakuu hapo nyuma nilikua na Mpenzi Dadek Pisi kali ya kwenda ila ilikua inapenda Pesa sana hela za Shopping ilikua kila week mara kusuka na ukweli alikua hakuna mda hajapendeza hadi Rafiki zangu walikua wana muita Mturuki.
Ila bhna Ndio hivo TUKAACHANA NAE kama ilivyoandikwa MTAACHANA TU.
Mwanaume sikuvunga nikaopoa Pisi Nyingine ya Ki-Chagga Oya PISI Kaliiii mi kwenye Maswala ya kuchukua wanawake wakali Najikubali Sana sijawahi Kuyumba.
Sa nilichotegemea kwa uzuri ilionao lazima ningekua natoboka sana ila cha ajabu Pisi mwaka wa Pili saivi Hela haombi ombi kama ile nyingine yani hapa Kijuba mpaka najishitukia mwenyewe natuma tu.
Kuna day nikamtumia Hela kidogo hivi akaniambia Hela yote hii ya nini nikamwambia utafanyia Mambo yako akasema Asante..
Lakini akaongezea Pleaz naomba usinipe Hela kama Sijakuomba...Muhuni nikabaki Enheeeeee!!
But what daily kinachonichanganya nikua Uroda Napewa Tena Naitiwa kabisa.
Sa najiuliza inakuaje Hapendi Hela na ha ombi ombi kama yule mwingine au kama wanawake Wengine niwajuavyo mimi?